Wengi wenu mnatetea ugali wenu sababu ya njaa zenu

Wengi wenu mnatetea ugali wenu sababu ya njaa zenu

Hapo nakataaa kabisa mama ni mkali kuliko mnavyo mchukulia kwnye runinga na kak wewe ilo unalijua

Ivi mbongo akiamua kupiga dili ata umbane vipi anapiga tu kaka au nailo unakataa?
Nimekuuliza swali ajabu unakwepa kujibu!

Unamsifia Samia huku ukiwaponda wateule wake ambao ndiyo wao hao wamejaza MKATABA wa BANDARI yetu sasa huoni kuna tatizo hapo?!
 
Nimekuuliza swali ajabu unakwepa kujibu!

Unamsifia Samia huku ukiwaponda wateule wake ambao ndiyo wao hao wamejaza MKATABA wa BANDARI yetu sasa huoni kuna tatizo hapo?!
Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaa
 
Wengi kuhusu swala la bandari wanatetea ugali wao maana hawatapitisha magari bila kulipa kodi wala kupunguziwa.

Wengine ninyi wauza madawa mnao pitisha kwa njia ya bandari mnajua mambo yatakuwa magumu na hamtakuwa na uwezo tena wa kutumia njia hiyo ya bandari.

Wengine mnaongea kwakuwa hamna uelewa mnapotoshwa na wajinga ambaoa wanatetea ugali wao acheno mara moja kuwasapoti.

Viongozi wengi uchumi wao upo bandarini na Airport hizo ndio njia yenu kubwa kupitisha magendo, Mama na uwanja wa ndege mpe Mwarabu kabisa.
Na hata wanaounga mkono wengi wao ni maslahi yao binafsi pamoja na familia zao
 
Unasema hivo kwa sababu na wewe upo upande huo, ila amini kwamba wanaosifia sifia tu kila kukicha na wanaoponda kila kukicha wote mna maslahi yenu.
Sawa ila sina maslahi
 
Hujui kitu wewe waje hapa wafanya biashara wa magari nenda kapitie risiti zao za malipo TRA uone kodi iko sawa na ushuru wa bandari upo sawa? Watu wanapitisha vitu vya magendo kuna makontenta ya mchina ya aingia kinyemelaa pale bandarini a linaendwa kutupwa kurasini uko ndiko linatoa bidhaa na kuuza kimagendo na ili dili kashikiria mtu mkubwa sana hapa tz au kontena sikuiz zinapitia Airport?
We unejua kitu acha blah blah basi weka ushahidi hapa otherwise ni maneno ya kwenye kanga tu unaleta hapa.
 
Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaa
Sawa chawa wa mama tumekusikia imba mapambio ili ushibe njaa mbaya nyie.
 
Wengi kuhusu swala la bandari wanatetea ugali wao maana hawatapitisha magari bila kulipa kodi wala kupunguziwa.

Wengine ninyi wauza madawa mnao pitisha kwa njia ya bandari mnajua mambo yatakuwa magumu na hamtakuwa na uwezo tena wa kutumia njia hiyo ya bandari.

Wengine mnaongea kwakuwa hamna uelewa mnapotoshwa na wajinga ambaoa wanatetea ugali wao acheno mara moja kuwasapoti.

Viongozi wengi uchumi wao upo bandarini na Airport hizo ndio njia yenu kubwa kupitisha magendo, Mama na uwanja wa ndege mpe Mwarabu kabisa.
Exactly
 
Back
Top Bottom