Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Nimekuuliza swali ajabu unakwepa kujibu!Hapo nakataaa kabisa mama ni mkali kuliko mnavyo mchukulia kwnye runinga na kak wewe ilo unalijua
Ivi mbongo akiamua kupiga dili ata umbane vipi anapiga tu kaka au nailo unakataa?
Kati ya wauza nchi ccm na mazuzu wasiojitambua chadema bora nani?Nani kasema chama kilicho jaa mazuzu na watu wasii jitambua ndio waingie ikulu
Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaaNimekuuliza swali ajabu unakwepa kujibu!
Unamsifia Samia huku ukiwaponda wateule wake ambao ndiyo wao hao wamejaza MKATABA wa BANDARI yetu sasa huoni kuna tatizo hapo?!
Bora ccm wewe shule ulizo soma ulijengewa na chadema?Kati ya wauza nchi ccm na mazuzu wasiojitambua chadema bora nani?
Na hata wanaounga mkono wengi wao ni maslahi yao binafsi pamoja na familia zaoWengi kuhusu swala la bandari wanatetea ugali wao maana hawatapitisha magari bila kulipa kodi wala kupunguziwa.
Wengine ninyi wauza madawa mnao pitisha kwa njia ya bandari mnajua mambo yatakuwa magumu na hamtakuwa na uwezo tena wa kutumia njia hiyo ya bandari.
Wengine mnaongea kwakuwa hamna uelewa mnapotoshwa na wajinga ambaoa wanatetea ugali wao acheno mara moja kuwasapoti.
Viongozi wengi uchumi wao upo bandarini na Airport hizo ndio njia yenu kubwa kupitisha magendo, Mama na uwanja wa ndege mpe Mwarabu kabisa.
Nani kasema chama kilicho jaa mazuzu na watu wasii jitambua ndio waingie ikulu
Huna hoja!Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaa
Shule gani imejenga ccm unaweza kuzitaja?Bora ccm wewe shule ulizo soma ulijengewa na chadema?
Ni wachacheNa hata wanaounga mkono wengi wao ni maslahi yao binafsi pamoja na familia zao
Ahahahha acha kujitoa ufahamu bas mkuuShule gani imejenga ccm unaweza kuzitaja?
Unasema hivo kwa sababu na wewe upo upande huo, ila amini kwamba wanaosifia sifia tu kila kukicha na wanaoponda kila kukicha wote mna maslahi yenu.Ni wachache
Haipo shule hata moja iliyopata kujengwa na CCM bali shule zote unazoziona zimejengwa na pesa za walipa kodi (Wananchi.)Ahahahha acha kujitoa ufahamu bas mkuu
Sawa ila sina maslahiUnasema hivo kwa sababu na wewe upo upande huo, ila amini kwamba wanaosifia sifia tu kila kukicha na wanaoponda kila kukicha wote mna maslahi yenu.
Chini ya serikali ya ccm umesahauHaipo shule hata moja iliyopata kujengwa na CCM bali shule zote unazoziona zimejengwa na pesa za walipa kodi (Wananchi.)
We unejua kitu acha blah blah basi weka ushahidi hapa otherwise ni maneno ya kwenye kanga tu unaleta hapa.Hujui kitu wewe waje hapa wafanya biashara wa magari nenda kapitie risiti zao za malipo TRA uone kodi iko sawa na ushuru wa bandari upo sawa? Watu wanapitisha vitu vya magendo kuna makontenta ya mchina ya aingia kinyemelaa pale bandarini a linaendwa kutupwa kurasini uko ndiko linatoa bidhaa na kuuza kimagendo na ili dili kashikiria mtu mkubwa sana hapa tz au kontena sikuiz zinapitia Airport?
Sawa chawa wa mama tumekusikia imba mapambio ili ushibe njaa mbaya nyie.Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaa
Ushaid nenda kurasini fanya uchunguz binfsi kuuwa mbeaWe unejua kitu acha blah blah basi weka ushahidi hapa otherwise ni maneno ya kwenye kanga tu unaleta hapa.
Sina njaa kama zakoSawa chawa wa mama tumekusikia imba mapambio ili ushibe njaa mbaya nyie.
ExactlyWengi kuhusu swala la bandari wanatetea ugali wao maana hawatapitisha magari bila kulipa kodi wala kupunguziwa.
Wengine ninyi wauza madawa mnao pitisha kwa njia ya bandari mnajua mambo yatakuwa magumu na hamtakuwa na uwezo tena wa kutumia njia hiyo ya bandari.
Wengine mnaongea kwakuwa hamna uelewa mnapotoshwa na wajinga ambaoa wanatetea ugali wao acheno mara moja kuwasapoti.
Viongozi wengi uchumi wao upo bandarini na Airport hizo ndio njia yenu kubwa kupitisha magendo, Mama na uwanja wa ndege mpe Mwarabu kabisa.
Njoo nikuajiri we mbulula maana hapa kuna wanaume wenzio hapa nawalipa mshahara ongezeka na wewe ntakupa utaniboy. Maana una njaa mpaka kwenye kope.Sina njaa kama zako