Wengi wenu mnatetea ugali wenu sababu ya njaa zenu

Hapo nakataaa kabisa mama ni mkali kuliko mnavyo mchukulia kwnye runinga na kak wewe ilo unalijua

Ivi mbongo akiamua kupiga dili ata umbane vipi anapiga tu kaka au nailo unakataa?
Nimekuuliza swali ajabu unakwepa kujibu!

Unamsifia Samia huku ukiwaponda wateule wake ambao ndiyo wao hao wamejaza MKATABA wa BANDARI yetu sasa huoni kuna tatizo hapo?!
 
Nimekuuliza swali ajabu unakwepa kujibu!

Unamsifia Samia huku ukiwaponda wateule wake ambao ndiyo wao hao wamejaza MKATABA wa BANDARI yetu sasa huoni kuna tatizo hapo?!
Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaa
 
Na hata wanaounga mkono wengi wao ni maslahi yao binafsi pamoja na familia zao
 
Unasema hivo kwa sababu na wewe upo upande huo, ila amini kwamba wanaosifia sifia tu kila kukicha na wanaoponda kila kukicha wote mna maslahi yenu.
Sawa ila sina maslahi
 
We unejua kitu acha blah blah basi weka ushahidi hapa otherwise ni maneno ya kwenye kanga tu unaleta hapa.
 
Mkuu samia ni mtu mwingine na timu ni watu wengine mzee tambua kuwa mama anaupiga mwingi sana mafisadi wanatafuta kwa kukaaa
Sawa chawa wa mama tumekusikia imba mapambio ili ushibe njaa mbaya nyie.
 
Exactly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…