Wengi wenu mnatetea ugali wenu sababu ya njaa zenu

Njoo nikuajiri we mbulula maana hapa kuna wanaume wenzio hapa nawalipa mshahara ongezeka na wewe ntakupa utaniboy. Maana una njaa mpaka kwenye kope.
SAwa boss wew mwenyewe si taniboy
 
Inamaana serikali ya CCM imeshindwa kudhibiti hayo yote imeamua kuipa hayo mamlaka serikali ya Dubai?

Sasa kama wameshindwa Si waachie hayo madaraka?
 
Inamaana serikali ya CCM imeshindwa kudhibiti hayo yote imeamua kuipa hayo mamlaka serikali ya Dubai?

Sasa kama wameshindwa Si waachie hayo madaraka?
Wa kuachie wewe kuku
 
Inamaana serikali ya CCM imeshindwa kudhibiti hayo yote imeamua kuipa hayo mamlaka serikali ya Dubai?

Sasa kama wameshindwa Si waachie hayo madaraka?
Wanasema Kuna wezi pale bandari wameamua kumuzia mwarabu ili kukomoa wezi, police wameshindwa kukamata hao wezi? ccm sio chama cha siasa
 
Wanasema Kuna wezi pale bandari wameamua kumuzia mwarabu ili kukomoa wezi, police wameshindwa kukamata hao wezi? ccm sio chama cha siasa
Yaani wao tumewapa madaraka wameshindwa wanaamua kuwauzia waarabu wa Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…