Wengi wenye vitambi walipata utapiamlo utotoni

What is Insulin resistance??
 
Bora mimi nilizaliwa mnene ila nimekua nmekua mwembamba, mama kila akiniona analalamika kwamba katika watoto wake woote mimi ndio alinizaa nikiwa mnene ila wengine walikua na uzito mdogo sana, sasa nmekua wenzangu wamekua mabonge mimi bonge wa utotoni nmekua mwembamba, vice versa is true
 
Unene ni dalili ya ugonjwa unaoitwa insulin resistance.

Kisukari pia ni dalili ya ugonjwa wa insulin resistance.

Aisee...!!

Kuna haja ya kurudi darasani na kujifunza magonjwa zaidi na zaidi..

Huu ugonjwa sikuwahi kuusikia wala kujifunza
 
Mbona watoto wa Masaki na Obay kwenye uhakika wa msosi ndiyo wanaongoza kwa vitambi kuliko wale wa Tandika na Mbagala?
 
Mbona watoto wa Masaki na Obay kwenye uhakika wa msosi ndiyo wanaongoza kwa vitambi kuliko wale wa Tandika na Mbagala?
Hiyo ni obesity ya utotoni. Inatokana na kula kupita kiasi, hasa mafuta na sukari. Mtu ambaye hakupata chakula kamili utotoni, yaani ana utapiamlo. Akiwa mtu mzima na akaanza kula kupita kiasi anakuwa kwenye hatari ya obesity na utapiamlo kuliko aliyepata mlo kamili utotoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…