Wengine huwa hatupashi viporo

Mzee nakubali sana hili bandiko
 
Hii scenario ndiyo ninayoipitia mimi kwa sasa. Tumefanya mambo mengi, tuna mipango mingi na nimemuahidi sitamuacha na kweli anaona namkubali kweli, sasa ameanza kuleta ujuaji, dharau, ugomvi na kero za kutosha

Now nipo nawasiliana naye tu ila naona moyoni na akilini ameanza kunitoka kabisa, japo najaribu kurudisha mzani to equilibrium
 
Mpige chini ila usimwmbie kama mmeachana ili asiseme umemchezea na umemuumiza ipo siku atakutamkia yeye muachae alafu unafunga mageti in chinno kiddd voice
 
Wengi huwa wanafeli katika Holi.Viporo vinapashwa Sana.
 
Ni mwiko mwanamme kukataa mbususu akitunukiwa. Mwanamme wa ukweli Hapaswi kuwa na kinyaa na mbususu.
 
Viporo mm nakula tu kwa sn Ila kwa umakini zaidi, Ila sio kurudisha uhusiano tena km ilivyo Kula awali hyo ni Neverrrr,[emoji41]
 
Kwani huyo anayechepuka nae mwanaume ni jinsia gani. Huo hao wanawake wanachepuka na wanaume nao ni wake zao watu tena ndio washawishi sana kwa wanaume ili uingie kingi kwenye ngono.
 
Kwani huyo anayechepuka nae mwanaume ni jinsia gani. Huo hao wanawake wanachepuka na wanaume nao ni wake zao watu tena ndio washawishi sana kwa wanaume ili uingie kingi kwenye ngono.

Unayechupuka ndiye msaliti lakini unayechepuka naye anaweza asiwe msaliti (yaani ni Binti tuu hajaolewa)
 
Hamhajawi kosana Wakati mumeachana. Huo ni unafiki wa kiwango cha juu Kabisa

Sio kukosana mazingira tulokutana mf: safarini au nimeenda mbali na makazi lakini pia kuna muda inakifu ya siku zote na unabadili kupata ladha tofauti ufundi pia wametofautiana!

Huwezi baki na mmoja hadi kifo hata ndoa au mama mzazi hufariki Ko siwezi baki na 1 tu na wao ni wengi
 

1. Safari haijawahi kusababisha Watu waachane.

2. Umbali haujawahi kufanya ndoa ivunjike.

Maelezo yako yameeleza Tabia Mbaya ulizonazo;
1. Usaliti
2. Ubinafsi
3. Uchafu
4. Tamaa Mbaya.
5. Kushindwa kujidhibiti(kudhibiti mwili wako)
6. Ukosefu WA Akili, yaani kutokujitambua.

Unasema mamaako anakufa kwani ni lini uliwahi kumuoa huyo Mama yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…