Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa Kuna dharura eeeh[emoji3]Duh! Sasa ndo ufoke kiasi hicho [emoji16]
Kiporo lazima nile kwanza hakihitaji moto mwingi
(Mtalaka hatongozwi) labda kama kaolewa.
Sijawahi kosana na X wangu ye yote sijui kwa nini?
Viporo vikijipendekeza wengi hula, ila inamadhara Sanaa kuliko saana.
Duh! Sasa ndo ufoke kiasi hicho [emoji16]
Kiporo lazima nile kwanza hakihitaji moto mwingi
(Mtalaka hatongozwi) labda kama kaolewa.
Sijawahi kosana na X wangu ye yote sijui kwa nini?
Inawezekana elimu ya mahusiano kwako Iko mbali au tofauti,kuachana sio uadui.
Me too aisee,labda kama hatukubanduana
Msimamo muhimu Sana
Kweli kabisa hii.
Ila ubaya ni kua mwanamke akikusaliti penzi linakua hatarini.
KabisaNa kama hukula hakiitwi kiporo
Hujawahi kutana na kipro max aisee,Ile hata ukikaa unasema kweli pale roho,nafsi,mwili vyote vilikuwa vinasalute,hata muachane aiseee miaka hata mitano ipite utapasha tu[emoji23]hakuna mkate mgumu mbele ya chai.Elimu ya kupasha kiporo Kwa kweli hiyo ilinipita mbali Mno.
Uchafu
Hamna mwanaume malayaKwenye mahusiano mara nyingi zigo la misumari wanatupiwa Wanawake
Sio Kila mahusiano watu wanaachana Kwa kukosana.Hamhajawi kosana Wakati mumeachana. Huo ni unafiki wa kiwango cha juu Kabisa
Sio Kila mahusiano watu wanaachana Kwa kukosana.
Hamna mwanaume malaya
Hujawahi kutana na kipro max aisee,Ile hata ukikaa unasema kweli pale roho,nafsi,mwili vyote vilikuwa vinasalute,hata muachane aiseee miaka hata mitano ipite utapasha tu[emoji23]hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Taikon ameachwa leo [emoji1787]