Daa mwanaume unamuomba mwanamke pesa kweli watu tumetofautiana lakini kwa sasa kumpata mtu sahihi ni kazi sana Cha muhimu nikumuomba mungu
Mimi hamna kama dhambi nifanye tu. Ndani ya mwezi wa mahusiano lazima uvuliwe chupi, ukigoma napita kushoto. Hata kama nakupenda vipi, hata kama umekula milioniNdio wapo wenye misimamo
Umri bado unaruhusu kabisa utapata wa kukufaa
Mimi hamna kama dhambi nifanye tu. Ndani ya mwezi wa mahusiano lazima uvuliwe chupi, ukigoma napita kushoto. Hata kama nakupenda vipi, hata kama umekula milioni
Bora hata huyo kakuacha kakupa ukweli. Siku hizi watu hawaagi utapigwa matukio mpaka ukimbie mwenyewe.
Mpenzi hadaiwi 🤣Hakuna kitu wewe mwanaume gani ananiambia mimi nimtoe out Halafu nikimkazia anasema alikuwa ananitania
Mimi nilishawahi kumuazima karibu laki 2 alikuwa ana shida sana kunirudishia tu akaanza kuomba nimsamehe sijui mpnz hadaiwi nikakomaa mpk akanilipa
Safari hii nimejiona kabisaa sina kosaa lolote
Safari bado na mda mwingine kufahamiana ni mbele kwa mbeleNi kweli ila sasa ni vizuri ukapata mtu mkafahamiana mapema sio tu wa kukutana nae juujuu
Mpenzi hadaiwi [emoji1787]
Bora amesepa angekuja kukusumbua sana mbeleni.
Yule boss wa ofisini kwako mmefikia wapi? Usije ukaangukia kwake kama ulishaanza kuvutiwa nae na ghafla baby huku kakupiga chini.
Huyo hakufai my friend bora kajisepesha. Inatatiza sana mtoto wa kiume kuomba omba hela hii ni dalili mbaya.Yaani anapenda kuombaomba hela Halafu ukimkazia tu anajifanya alikuwa anatania
Nafikirii mahusiano aliotoka alizoea kupewa hela
Safari bado na mda mwingine kufahamiana ni mbele kwa mbele
Huyo hakufai my friend bora kajisepesha. Inatatiza sana mtoto wa kiume kuomba omba hela hii ni dalili mbaya.
Watu huachwa kabla ya kupendwa... Yani akishachovya tu imeisha hiyo.
Mengine yote ni drama tuu
never fall in love with a dreamer
Huyo kijana uliyewahi kumpata uka-enjoy ....ndiye aliyekupa laanaNimejiuliza maswali sana… kuna shida gani mbona sijawah kupata mpnz wa kudumu yaani nikaenjoy mahusiano( japo nimewai kuwa na kijana kwa sasa hayupo ila nilienjoy)
Huyo kijana uliyewahi kumpata uka-enjoy ....ndiye aliyekupa laana
Nimemwambia piaBora hata huyo kakuacha kakupa ukweli. Siku hizi watu hawaagi utapigwa matukio mpaka ukimbie mwenyewe.