- Thread starter
- #81
Daa mwanaume unamuomba mwanamke pesa kweli watu tumetofautiana lakini kwa sasa kumpata mtu sahihi ni kazi sana Cha muhimu nikumuomba mungu
Yaani hii nilikuwa nasikia mitandaoni ndio nikajionea live kumbe story za ukweli na ana kazi muajiriwa kabisa uhakika mshahara kanizidi mie lakini ananiombaomba hela