Wengine wana macho ila hawaoni.

Wengine wana macho ila hawaoni.

Duuh... Chukulia jinsia yako kisha niambie..

Vijana kama nyie mnakufa mapema kila jambo serious na bahati mbaya wengi mnakufa maskini.
Hiyo ni dalili ya mtu mjuaji, perepeche nyingi na huku anasubiria shemu arudi na samaki ndo wale
 
Mkuu kalumanzila usije ukasahau au ukateleza ukaniloga mimi kwa sababu hii vita wala sijaianzisha mimi!....Please mloge muhusika mwenyewe!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] acha uoga mkuu!.. Kalumanzila atakua anga za mbali huko muda huu...
 
Tuwasaidie tu hawa wanachitchat na Wana MMU wenzetu kuwaonyesha wanaolandana nao.

Ukiwa member wa MMU technically unaangukia kuwa member wa chitchat..la sivyo jitangaze leo tukuvue uanachama.

Naanza.
Ushimen wanaendana saana na Thad ..nadhani wanatakiwa wachukue hatua madhubuti.

Behaviourist wanaendana na Demiss nyie hamna haja ya kuchelewa tutangazieni ndoa michango tutoe.

Asprin unaniharibia dada hata pombe hagusi wewe uwe unafuatana na manengelo.. huyu member mpya ila anaijua JF kama kwake.

nitaendelea...
UKIENDELEA UNITAG
 
Siku nikikumbukwa mimi nitacheka kama hivi[emoji117][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom