Pre GE2025 Wenje adai Lissu akiwa Mwenyekiti Kanda ya Kati alitimuliwa na Kamati Tendaji mwaka 2012

Pre GE2025 Wenje adai Lissu akiwa Mwenyekiti Kanda ya Kati alitimuliwa na Kamati Tendaji mwaka 2012

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.

Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.

Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.

Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.

Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
 
Heshima sana Wanajamvi.
Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.

Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.

Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.

Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.

Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Swali je kwa wakati ule muliwapa mafunzo hao viongozi namna ya kuenenda kwenye hiyo kamati
 
Chadema watajuta, na kama akipanua mdomo ujue anaongelea maslahi yake
 
Swali je kwa wakati ule muliwapa mafunzo hao viongozi namna ya kuenenda kwenye hiyo kamati
Jibu alishindwa kuongoza kanda yenye mikoa 3.Unafikiri ataweza kuongoza chama kikubwa nafasi ya Mwenyekiti?.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Jibu alishindwa kuongoza kanda yenye mikoa 3.Unafikiri ataweza kuongoza chama kikubwa nafasi ya Mwenyekiti?.
Nyie mnahubiri katiba mpya mbona yakwenu chadema hamtaki kuiboresha hadi mna mwenyekiti wa kudumu, (mwenyekiti wa maisha), pia mnahubiri uchaguzi huru na wa haki je chaguzi zenu zikoje

Practicing an endless chairmanship of a political party

Ama ndiyo zidumu fikra za mwenyekiti wa chadema

Huko chadema hakuna demokrasia lakini mnahubiri demokrasia nadhani mna tatizo la afya ya akili

You do not practice democracy in your political party and yet you want CCM to practice democracy, hahaha 🤣

Nyie bado hamjakua kisiasa, hizo kelele kwa kinyakyusa tunaita noises from pressure groups

Mlivyo wapumbavu mnatoa siri zenu hadharani

Casgating each other is old politics rather practiced by un matured politicians
 
Nyie mnahubiri katiba mpya mbona yakwenu chadema hamtaki kuiboresha hadi mna mwenyekiti wa kudumu, (mwenyekiti wa maisha), pia mnahubiri uchaguzi huru na wa haki je chaguzi zenu zikoje

Practicing an endless chairmanship of a political party

Ama ndiyo zidumu fikra za mwenyekiti wa chadema

Huko chadema hakuna demokrasia lakini mnahubiri demokrasia nadhani mna tatizo la afya ya akili

You do not practice democracy in your political party and yet you want CCM to practice democracy, hahaha 🤣

Nyie bado hamjakua kisiasa, hizo kelele kwa kinyakyusa tunaita noises from pressure groups

Mlivyo wapumbavu mnatoa siri zenu hadharani

Casgating each other is old politics rather practiced by un matured politicians
Issue kubwa ni alishindwa kuongoza kanda ya Kati.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kama kanda tu ilimshinda hui uwenyekiti si chama kitasambaratika miezi 6 tu ya uongozi wake.
 
Wenje Kwa sasa ni kama ule mpira wa kuhifadhi maji ya uzima. Akae tu kimya. Haya makelele hayamsaidii...,ni hamnazo tu Kwa maoni yangu
 
Issue kubwa ni alishindwa kuongoza kanda ya Kati.
Akili hizo hizo zilimruhusu agombee kama Rais wa jamuhuri ya Tanzania 2020 inamaana hujagundua kwamba nyie ndiyo hamna akili yaani mnatatizo la afya ya akili

Jibu nikwamba akili zenu pia zimerudi 2024, kumbe na yeye zimerudi 2024

Kwakifupi nyie ni wapumbavu je unajua maana ya mtu mpumbavu?

Mpumbavu ni mtu anayejitambua na mbobezi wa jambo fulani lakini anafanya tofauti na uelewa wake a.k.a kujizima data

Kwa majibu yako, chadema kuna ombwe la wapumbavu pamoja na wewe inawezekana wewe ndiyo unaye ongoza

For your information by now Lissu should have more knowledge in leadership than most of you, in reality though as he was there in Germany, not sitting idle, there are many schools to keep some one busy
 
Kwa ufupi kabisa,

Wenje anaposema Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimwondoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ni kinyume na Katiba ya CHADEMA kwani mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Kanda ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ni Kamati Kuu au Baraza kuu sio Kamati Tendaji ya Kanda.

Haya hapa maneno ya Wenje,

"Lissu amewahi kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kati, alihudumu kwa mwaka mmoja, Kamati Tendaji ya Kanda ikamfukuza, hakufanya chochote kwenye Kanda, sasa anataka uenyekiti wa Chama Taifa. Ninawaambia leo Lissu akiwa Mwenyekiti wetu wa Chama Taifa ndani ya mwaka mmoja wanachama wenyewe wa Chadem ndio wataandamana kwenda kumfukuza."

 
Mbona 2020 mlimteua kwa kauli moja agombee URAIS wa JMT?
  • Wenje ana akili?
  • Kati ya uenyekiti wa kanda na URAIS kipi kikubwa?
  • Mbn mwaka 2017 mlimchagua kuwa Makamu Mwenyekiti wa CDM?

Wenje, hana hoja nzito - uchawa unamsumbua sana
 
Back
Top Bottom