The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Yeye hapo kadhibitisha nini? Zaidi ya kuongee uharo na chiki, nyie vibaraka wa mbowe mna kazi kweli hamuezi kubadilisha jamii ya watanzania walisha wajua.Wenje yuko live anamvua nguo Lisu
Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana
Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
Huu ni wakati ambao watu wenye hulka za kichawa chaqa husema chochote kwa matumaini ya kujiimarisha kisiasa. Si vizuri kuzungumza uongo na si vizuri kumsingizia mtu uongo. Kujadiliana kwa hoja zaidi ni jambo makini zaidi.Wenje yuko live anamvua nguo Lisu
Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana
Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
Chama hakifi kwa namna hiyo.PIGO LA MWISHO KWA CHADEMA … hii ndio safari ya kutoka kuwa chama kikuu cha upinzani mpka chama cha upinzani… kwa heri CHADEMA
for sure,Wenje yuko live anamvua nguo Lisu
Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana
Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
Mimi nimesema kinakufa au unachangamoto kwenye usomaji?Chama hakifi kwa namna hiyo.
NLD na DP vyote ni vyama vya upinzani Tanzania na havijafaChama hakifi kwa namna hiyo.
Ndiyo mwisho wa CHADEMA nowHaina shida endeleeni kuchafuana tu,tutaona mtakavyorudisha umoja wenu na hizi nyuzi..........
Mropokaji tu huyoWenje yuko live anamvua nguo Tundu Lissu. Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana.
Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
Kamuulizeni yule nduli magufuli alisemaje na baada ya kusema nani aliyekufa, ni mpumbavu pekee atakayeamini kuwa chadema imekufa au kamuulizeni yule mla nguruwe mchengelwa ndio atakupa taarifa za chadema tofauti na hapo only lunatic can believe on your sentiment.PIGO LA MWISHO KWA CHADEMA … hii ndio safari ya kutoka kuwa chama kikuu cha upinzani mpka chama cha upinzani… kwa heri CHADEMA
Nenda kamuulize Mungu wenu chato maana wewe unafanya marudio tu🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛Cdm kwisha habari Yao tunasubili mazishi tu