Wenje: Lissu ni muongo muongo sana

Wenje: Lissu ni muongo muongo sana

Najiuliza hivi Mbowe na Lisu wameshindwa kuwazuia hawa chawa wao waache kampeni za hovyo, za kijinga, za matusi na za kitoto. Kama wameshindwa jaribio hili dogo tu vipi wanataka tuwape nchi wataweza kweli kudhibiti vyombo vya dola ikiwa chawa wao tu wameshindwa kuwadhibiti. Kama watu wazima na akili zao ndio hizi za kushindwa kujua kuna maisha baada ya uchaguzi vipi watawezaje kuongoza nchi. Yaani hao chawa wa Mbowe na Lisu kati yao ndio wategemewe watoke humo mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, n.k. hapana aisee. Na kati ya Lisu na Mbowe eti mmoja awe amiri jeshi mkuu wakati wameshindwa kukemea chawa wao wafanye kampeni za kistaarabu.

Njia ile ile ya bonde la uvuli wa mauti NCCR, TLP na CUF zilimopita ndio njia ile ile CHADEMA inapita sasa. Kwa jinsi watu wazima CHADEMA wanavyovuana nguo mbele ya vyombo vya habari siioni tena kama CHADEMA itaendelea kuwa chama chenye nguvu hata kama watapita salama kwenye uchaguzi ujao kutokana na kauli zao za hovyo wanazojibishana mbele ya vyombo vya habari.

Ni mtizamo tu
 
PIGO LA MWISHO KWA CHADEMA … hii ndio safari ya kutoka kuwa chama kikuu cha upinzani mpka chama cha upinzani… kwa heri CHADEMA
And huyo mtu wanayemuita akili ndogo (saa100) ndiyo kawasambaratisha kabisa, yule mwingine alitumia mabunduki, huyu bi mkubwa haongei, ila anajua pa kuwafinya!! Waendelee na delusion zao kuamini kila mtu aliyepo CCM ni kilaza and wao ndiyo akili kubwa
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Wenje huyu dalali anayepiga hela za Abdul kama hana akili nzuri. Mwache abwabwaje hajui Lissu aliwarekodi pale Tageta na hilo ndiyo itakuwa pigo la mwisho kwa Mbowe, pigo moja tu,pigo takatifu,pigo lililonyooka.
Jinsi Lissu alivyomkurupukaji asiye na subira na mropojkaji angekuwa na hiyo video angeshaitoa, subiri siku ya kupiga kura video ya Lissu akiomba msamaha kamati kuu baada ya kudanganya Mbowe kaongwa hela itavyomvua nguo hadharani na ufitini wake
 
Najiuliza hivi Mbowe na Lisu wameshindwa kuwazuia hawa chawa wao waache kampeni za hovyo, za kijinga, za matusi na za kitoto. Kama wameshindwa jaribio hili dogo tu vipi wanataka tuwape nchi wataweza kweli kudhibiti vyombo vya dola ikiwa chawa wao tu wameshindwa kuwadhibiti. Kama watu wazima na akili zao ndio hizi za kushindwa kujua kuna maisha baada ya uchaguzi vipi watawezaje kuongoza nchi. Yaani hao chawa wa Mbowe na Lisu kati yao ndio wategemewe watoke humo mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, n.k. hapana aisee. Na kati ya Lisu na Mbowe eti mmoja awe amiri jeshi mkuu wakati wameshindwa kukemea chawa wao wafanye kampeni za kistaarabu.

Njia ile ile ya bonde la uvuli wa mauti NCCR, TLP na CUF zilimopita ndio njia ile ile CHADEMA inapita sasa. Kwa jinsi watu wazima CHADEMA wanavyovuana nguo mbele ya vyombo vya habari siioni tena kama CHADEMA itaendelea kuwa chama chenye nguvu hata kama watapita salama kwenye uchaguzi ujao kutokana na kauli zao za hovyo wanazojibishana mbele ya vyombo vya habari.

Ni mtizamo tu
Mkuu hawa ni wahuni, kitambo tu, sema mliambiwa sana mkawa wabishi! Real Opposition nyinyi mmekuwa mnawaita CCM B, hawa jamaa ndiyo real CCM B kitambo sana, Kikwete ndiye aliwalea hawa, aliwatumia sana kuchafua wapinzani wake, JPM na Samia wamewakazia, ndiyo kutapatapa kote huku, mara kutukana, mara wanaitaka Tanganyika, mara kuunga juhudi, ushuzi mtupu! Nobody ndani ya viongozi wa CDM ni mpinzani wa kweli, waganga njaa
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Jinsi Lissu alivyomkurupukaji asiye na subira na mropojkaji angekuwa na hiyo video angeshaitoa, subiri siku ya kupiga kura video ya Lissu akiomba msamaha kamati kuu baada ya kudanganya Mbowe kaongwa hela itavyomvua nguo hadharani na ufitini wake
Tuna mabomu tumetulia nayo ya huyo zero brain dj very soon yatatoka na wote mtaandamana hamumtaki tena na mashtaka mtamfungulia na msomi mchapakazi asiye kua na chembe ya uoga TUNDU ANTIPAS LISSU atamwombea MSAMAHA.
 
Tuna mabomu tumetulia nayo ya huyo zero brain dj very soon yatatoka na wote mtaandamana hamumtaki tena na mashtaka mtamfungulia na msomi mchapakazi asiye kua na chembe ya uoga TUNDU ANTIPAS LISSU atamwombea MSAMAHA.
Subiri video akiomba msamaha kamati kuu kwa uongo itavyooneshwa kwa wajumbe tarehe 21 Mkuu, kuwa na subira
 
Wenje yuko live anamvua nguo Tundu Lissu. Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana.

Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
Huyo mpuuzi anajivua nguo mwenyewe. Hili tifu lote linaloendelea Chadema limetokana na hela chafu ya Abdul na ni yeye Wenje aliyemleta Abdul na kumkutanisha na viongozi waandamizi wa Chadema kuwagawia huo mlungula ili wawe laini Mama Abdul atawale kwa raha zake. Wenje atangazwe kuwa adui namba moja wa Chadema.
 
dont wrestle in the mud.jpg
 
Jinsi Lissu alivyomkurupukaji asiye na subira na mropojkaji angekuwa na hiyo video angeshaitoa, subiri siku ya kupiga kura video ya Lissu akiomba msamaha kamati kuu baada ya kudanganya Mbowe kaongwa hela itavyomvua nguo hadharani na ufitini wake
Hiyo itatolewa wakati muafaka subirini muone hilo 💣 litakavyo wasambaratisha wanufaika wote wa hela ya Abdul.
 
Hakuna cha Lisu wala Mbowe wote wabinafsi tu na hakuna hata mmoja kati yao mwenye busara wala uwezo wa kuongoza sio CHADEMA tu bali hata nchi. Iwapo kati yao angekuwepo mmoja mwenye busara angekaa pembeni baada ya kuchukua fomu na kuona wkipambana wote jahazi litazama. Lakini badala yake wote wameng'ang'ania misimamo yao huku chombo kinazama na wao wakiwa ndani.

Kuna watu wamekufa, wengine wamepata ulemavu, wengine wamefilisika, wengine wapo vifungoni mpaka sasa, wengine ndoa zimesambaratika na madhila mengine mengi kutokana na kupambania CHADEMA lakini wao Mbowe na Lisu hili hata haliwaumi kabisa badala yake wameweka ubinafsi mbele kupigania matumbo yao.
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA.
 
Kwa maneno mengine ya Wenje ni kwamba hata zile tuhuma za Lisu kwa Magu kumbe zilikuwa uzushi tu
 
Back
Top Bottom