WENJE: Lissu ni muongo, mzushi na mchafua watu (character assassinator)

WENJE: Lissu ni muongo, mzushi na mchafua watu (character assassinator)

Mkuu,tunampenda Lissu, lakini tunataka aweke tuhuma zake dhidi ya Wenje na Abduli mtoto wa Mama straight.

Lissu kama alivyosema hapo awali kuwa Abduli alitaka amhonge ili yeye Lissu apunguze maneno makali dhidi ya Mama Abduli.

Sasa kati ya hawa Viongozi wawili mmoja wao anasema uongo tunataka tumjue ni nani?.

Watu wanasema Lissu anaropoka kuropoka hakuna ubaya wowote kama uliyoyaropoka ya yana ukweli.

Kuropoka huko ndiko kunakotakiwa.
Tuhuma na ushahidi aliupeleka kamati kuu, Jana wenje kasema wakati wa hiko kikao kuhusu hizo tuhuma walirekodi hiko kikao. Lissu Jana hiyo hiyo akamjibu wenje kuwa waweke wazi hizo video za kikao ili kila kitu kijulikane. But wakichelewa naamini lissu atayamwaga yote
 
Huenda kuna matatizo kwenye sources za Lissu huenda pia Magufuli alikuwa akipotoshwa makusudi kabisa lakini hawa ni Viongozi wazuri.

Ninamshauri Lissu awe makini na Watu wanaomletea habari huenda hao wanafanya kazi na maadui zake.
Ulitegemea wenje aseme ni kweli walimpelekea lissu rushwa?

Huyo member Tui ni mwanaccm unajua kwa nini wanamponda sana lissu?
 
Lakini mbona hawa Masukuma Gang wa humu JF wamegawanyika sana, wengine wako na Lissu wengine na Mbowe, sema wale Machawa wa Lumumba wote wako Mbowe the likes of Lucas,Tlahtlah na wenzake.
Hakuna mtu wa ccm anaweza kumpenda lissu. Wewe nenda mitandao mingine utaona, Leo huko Twitter ni furaha kwa wanaccm wote

Mdee na bulaya leo ni kicheko. Hapo ndio ujiulize maswali
 
Hakuna mtu wa ccm anaweza kumpenda lissu. Wewe nenda mitandao mingine utaona, Leo huko Twitter ni furaha kwa wanaccm wote

Mdee na bulaya leo ni kicheko. Hapo ndio ujiulize maswali
Nimeongelea members wa humu JF na sio huko twitter x
 
Chadema, kuna njia gani tena mtaibuni ili kuendelea kutupumbaza wafuasi wenu kwamba, Chama hiki siyo mali ya Mbowe kwa maslahi ya Wakaskazini?
Chawa wote wapo CCM, full stop!!
 
Nimeongelea members wa humu JF na sio huko twitter x
Walioko upande wa lissu wanaamini lissu anaweza kuondoa utawala wa sasa ikawa furaha kwao kwa kuwa pengine hawaupendi utawala wa sasa

Ambao hawako upandw wa lissu ni wale ambao walimchukia jumla lissu, so iwe wanaupenda utawala wa sasa au hawaupendi hilo kwao sio issue, issue Ni lissu afeli. Ndio huo mgawanyiko

Kwa hiyo Lissu ni kete pote pote
 
Simjui ni nani anasema uongo na nani anamzushia mwenzake kusema uongo hii issue ya magari nimeisikia kwa Wenje jana YouTube.

Siwezi kumhukumu yeyote mpaka tumsikilize na Lissu atasemaje kuhusu hizo tuhuma.
Pamoja na kirushiana maneno, Lissu ananijitahidi sana kuwastahi wenzake, kinyume na wao wanavyomshambulia moja kwa moja tena kwa maneno machafu. Hata hivyo miaka zaidi ya 20 kupisha mawazo na fikra mbadala. Nyerere aling'atuka urais alipokaa ikulu miaka 24. Isisahaulike vita ya panzi furaha ya kunguru. Hapo tunasema, Ccm oyeeeeee
 
Kwani humjui nani muongo?Kuna ushahidi wa e-mail utawekwa kwenye kampeni za Uenyekiti. Pia alimzulia Mbowe kapewa gari 2 na Serikali kumbe Mbowe kanunua kwenye mnada na ushahidi upo.Safari hii msema ovyo ataumbuka tu.
Mnada you?? Ikulu wapiga magari yao mnada siku hizi

Hizo gari zote mbili za Mbowe zimetoka Ikulu baada ya Mbowe kuachiwa kutoka segerea!!

Top wote wamehongwa Mbowe, Mnyika , Wenje, Msigwa

Ambao hawajafikiwa ni lissu, Lema na Heche

Wenje anaongea uongo ndani ya media alipewa million 200 na abudul huyo tapeli kuuza utu wake !!
 
Hakuna upinzani vyama vyooooote na watawala wa vyama ni wafanyabiashara kama biashara zingine ndio maana kuna wapiga debe aka chawa.

Lissu tu ni exceptional the rest hii sifa inawahusu.

Hakuna uchaguzi ni uchafuzi
Lisu ndiye mpinzani pekee wa kweli ambaye ana dhamira ya kuona nchi inakuwa na mabadiliko ya kweli kuelekea kwenye haki. Hawa akina Wenje wanatumia vyama vya siasa kama sehemu ya kuwatisha watawala ili wawape pesa.
 
Mnada you?? Ikulu wapiga magari yao mnada siku hizi

Hizo gari zote mbili za Mbowe zimetoka Ikulu baada ya Mbowe kuachiwa kutoka segerea!!

Top wote wamehongwa Mbowe, Mnyika , Wenje, Msigwa

Ambao hawajafikiwa ni lissu, Lema na Heche

Wenje anaongea uongo ndani ya media alipewa million 200 na abudul huyo tapeli kuuza utu wake !!
Dunia Ina watu wa makundi 3 makubwa, 1. Wenye kusimamia haki kwa gharama yoyote hata kifo,, 2. Wenye kujali maslahi tu wajanja matapeli ma wapenda shortcuts. 3. Wasio na msimamo, waoga na machawa. Kundi no 1 Lina watu wachache sana duniani kwa ajili ya risk taking. Kundi la pili Lina idadi kubwa kidogo. Na kundi la mwisho ni kubwa sana maana wao ni opportunists. Bendera fuata upepo.
 
Ushahidi ninao hata mbowe kapewa gari mbili kutoka Ikulu

Unafikiri Lissu anakurupuka

Watu wamelamba asali kweli imagine 10 per year inatengwa kuua upinzani
Mkuu kama inawezekana kutuwekea hapa ili team Lissu tutembee vifua mbele?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mkuu kama inawezekana kutuwekea hapa ili team Lissu tutembee vifua mbele?
Akileta ushahidi uni tag. Hawezi kuleta kwa sababu ni uzushi na uongo.Eti gari zimetoka Ikulu?Kweli watu ni wajinga hivyo wakupe gari kutoka Ikulu.
Ameona milioni 200 ndio pesa kubwa ya kuhongwa Mbowe?Hivi anajua Mbowe ana asset Nchini na Nje ya Nchi ya mabilioni?
Mwenyekiti Mbowe sio kiongozi wa kuhongwa.
 
Ameona milioni 200 ndio pesa kubwa ya kuhongwa Mbowe?Hivi anajua Mbowe ana asset Nchini na Nje ya Nchi ya mabilioni?
Mwenyekiti Mbowe sio kiongozi wa kuhongwa.
Mangi kwenye Shilingi anaweza hata akaangusha hata Gari akisikia mlio Shilingi ikidondoka.
 
Back
Top Bottom