WENJE: Lissu ni muongo, mzushi na mchafua watu (character assassinator)

WENJE: Lissu ni muongo, mzushi na mchafua watu (character assassinator)

Mangi kwenye Shilingi anaweza hata akaangusha Gari akisikia mlio Shilingi ikidondoka.
Huo ni utani tu.Mwenyekiti Mbowe amejitolea kwa hali na mali kuisaidia Chadema.
Mbowe hayatoka familia maskini ya kufikiria pesa.
 
Huo ni utani tu.Mwenyekiti Mbowe amejitolea kwa hali na mali kuisaidia Chadema.
Mbowe hayatoka familia maskini ya kufikiria pesa.
Jamii zetu hapa Tanzania tunazijua vizuri, kwenye Pesa Mangi hana mchezo.

Ndio maana Magufuli aliona amhonge Mchaga halafu amuue Mnyaturu.
 
Hawa wahuni sijui kwamba watakuja kuambulia hata kiti kimoja cha ubunge. Waliaminisha watu kama ni watetezi wa wananchi kumbe wahuni watupu. Kwenye hicho tokea hili sekeseke nimeona kulikuwa na mtu mmoja tu ambaye ni TAL, wengine ni wale ambao wahenga walisema kikulacho kinguoni mwako. Mh Lisu aliishi na virusi bila yeye kuwatambua
Amini nakwambia Wenje,Mbowe na Sugu watarudi bungeni,usichezee CCM wewe
 
Simjui ni nani anasema uongo, na nani anamzushia mwenzake kusema uongo,, hii issue ya magari nimeisikia kwa Wenje jana YouTube.

Siwezi kumhukumu yeyote mpaka tumsikilize na Lissu atasemaje kuhusu hizo tuhuma.
Baada ya kusikiliza unachukua facts na siyo maneno yasiyo na uzito.
Mwishoni tulinganishe facts za kila upande halafu tupate uamuzi sahihi na wa haki.
 
Nimeamini chadema ni chama cha umma bila shaka yoyote , umma umechafukwa , nami nasema Mungu wangu kama kweli ichi chama kipo nyoyoni mwa watu ambao umewaumba kwa mfano wako , najua utatenda na kuwaponyaa ,Mungu hu mwema siku zote .
Tuseme ameni
 
Huenda kuna matatizo kwenye sources za Lissu huenda pia Magufuli alikuwa akipotoshwa kwa makusudi kabisa lakini hawa ni Viongozi wazuri.

Ninamshauri Lissu awe makini na Watu wanaomletea habari huenda hao wanafanya kazi na maadui zake.
Lissu ni advocate, anajua fika ushahidi usiotia shaka wa kesi husika ndio unampa shavu.
Sasa kama kweli anaropoka bila kuzingatia process au procedures za kumtuhumu mtu.Ni uwendawazimu.
 
Back
Top Bottom