Wenje na Lema karibia watatutegulia Kitendawili cha Washirika wa Shambulio la Tundu Lisu!

Kwenye hili Sakata la Chadema nimejifunza sana kuhusu maisha ... Mtu anaweza kufunua Siri zoteeeeee kwa sababu ya fedha, madaraka n.k

I love Heche! Ana hekima sana Kuna kitu juzi alikiongea East Africa Radio ... Nikampa maua yake
 
Ni swala la Muda tu na hii itawashangaza wengi

RIP shujaa Magufuli

Ahsanteni sana

Hili limeisha Hayati Magufuli na machawa wake ndiyo walimpiga risasi na Mahakama huko Uingereza ndiyo itaweka wazi. Kampuni ya zamani ya Tigo na wamiliki wake wanaongea na Lissu wampe mamilioni ya $$ lakini mawakili wake wanataka namba na majina ya hao wafuatiliaji.

Cha ajabu kwanini Magufuli alimuua kijana mdogo saa nane ?
 
Umewahi kumsikia Boss wa Ben Saanane mh Mbowe akisema Kijana wake kauawa?

Usiwe Mjinga Bwashee πŸ˜‚πŸ”₯
 
Umewahi kumsikia Boss wa Ben Saanane mh Mbowe akisema Kijana wake kauawa?

Usiwe Mjinga Bwashee πŸ˜‚πŸ”₯

Kasome kitabu halafu tuambie kitu gani ni cha uongo sio kutuletea umbea umbea. Kabishane na usalama wa taifa ambao wametoa hizo habari kwa mwandishi. Mungu analipa . Kikubwa ni kumuombea tu.
 
Shambulio la Lissu ni huyo shuja wako uchwara na mwanae nyamitako
na huyo mwanaye ambaye wao wanalalamika kuwa kila mission huwa anashindwa. yaani unaambiwa kila mission anayokabidhiwa wanajiandaa kwa taifa kuaibika, lazima ashindwe, na hata juzi alishindwa mission ya kumleta data yako Arusha akitokea Nairobi. tangu lini mtu zero brain akafanya cha maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…