Wenje na Lema karibia watatutegulia Kitendawili cha Washirika wa Shambulio la Tundu Lisu!

Wenje na Lema karibia watatutegulia Kitendawili cha Washirika wa Shambulio la Tundu Lisu!

Kasome kitabu halafu tuambie kitu gani ni cha uongo sio kutuletea umbea umbea. Kabishane na usalama wa taifa ambao wametoa hizo habari kwa mwandishi. Mungu analipa . Kikubwa ni kumuombea tu.
Kwani huyo Ben Saanane alikuwa Mtumishi wa Wapi hadi awe msaidizi maalumu wa Mbowe

Usiwe Pimbi 😂😂

Kubenea: Ben Saanane huwa namkuta Maktaba akisoma Magazeti
 
Back
Top Bottom