kwa alivyo na mdomo vile vikao vyote vingekua vinaishia njiani tu na viongozi wengi wangekua wamejiengua chadema 🐒View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu). Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Hampendi watu wakweli.kwa alivyo na mdomo vile vikao vyote vingekua vinaishia njiani tu na viongozi wengi wangekua wamejiengua chadema 🐒
mtu ambae anasingizia wengine mambo mbalimbali, ukimwambia athibitishe anakua mkali, huyo si mnafiki wa kiwango cha juu sana ndrugu zango?Hampendi watu wakweli.
Yeye mwenyewe lissu ni mtovu wa nidhamu!View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu). Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Hawa UWT wanataka Mbowe aendelee kuwa MwenyekitiHampendi watu wakweli.
Unafikiri Kuna mtu humu atakujibu hili swali comrade wengi wao humu ni mbumbumbu ndio maana wanapaswa kupewa spana kutokana na umbumbumbu wao.Utaratibu wa kuitisha hiyo kamati ukoje? Tuanzie hapo…
Binafsi nashukuru hajaitisha hata kikao kimoja vinginevyo angefukuza wote ambao wangefikishwa mbele yake.View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Magufuli kashakufa achana na habari zake. Wewe Kila siku Magufuli Magufuli.Yaani muda mwl mzuri sana. Enzi za Dkt Magufuli tuliwaasa kuwa ndugu Lisu anatumia mabeberu kuidhoofisha nchi kwenye juhudi za kujikomboa kutoma makucha ya mikataba mibovu, yaani alishirikiana na wenzake kama akina Dkt Kafuku, Mwanyika eti kutafuta weakness ya serikali ili wazungu wajiandae kwenda kushitaki serikali, na hatimaye walipata wa kushirikiana nao toka serikalini na matokeo yake waliokuwa wanamshauri Dkt Magufuli wakafanya kwa maelekezo ya akina lisu kuvunja mikaba with loophole ambayo kweli wazungu wametuweza. Leo hii huyo huyo wakala wa wazungu na mueneza ushoga karudi tena sasa kwao eti mnalalamika hahaha tulieni dawa iwangie vizuri
HovyooooView attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Lazima tumkumbuka tulishakula kiapo kumtetea hata kama akiwa mifupa, na itakuwa hivyo siku zote. Na kwa taarifa yako hata wewe ukiwa mzalendo hivyo hivyo tutakusema yaliyo mema hata ukifa. Dkt Magufuli tupo tuliompenda sana na hatukutaka hata vyeo na bado tunampenda na kumtetea na kumsemea yaliyo mema hata kwenye umauti wake.Magufuli kashakufa achana na habari zake. Wewe Kila siku Magufuli Magufuli.
Dah!Utaratibu wa kuitisha hiyo kamati ukoje? Tuanzie hapo…
kwa hili, nakuunga mkono 100%Binafsi nashukuru hajaitisha hata kikao kimoja vinginevyo angefukuza wote ambao wangefikishwa mbele yake.
Huyo dalali,mla ruswa na mshika mkoba wa kitoto Abdul anapata wapi moral authority ya kumkemea Lissu ?View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Nani Katibu wa Kamati hiyo?Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Wenje wewe na mwenyekiti wako tayari Abdul amewaweka mfukoni hamtudanganyi tena mumeshakuwa mateka wa CCM. Ni kichaa tu anayeweza kuwaaminiView attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.