huo utovu wa nidhamu ni kwa kiasi gani mpaka aitishe kikao? Hebu wenje atulie kwanza chama kipate mwenyekiti mpyaView attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Hajasingizia mtu,na wakizidi kamdomo atawataja kwa majina kwani alirekodi kila kitu wewe unafikiri Lissu ni mjinga kuwaita waje nyumbani. Wenje ndiye alianza kuwataja wenzake waliopokea fedha za Abduli na Abduli mwenyewe akaja kuwataja tena na wa nyongeza yote hayo Lissu amerekodi anasubiria the right time to pull the 📍.mtu ambae anasingizia wengine mambo mbalimbali, ukimwambia athibitishe anakua mkali, huyo si mnafiki wa kiwango cha juu sana ndrugu zango?
mathalani huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, for sure utadhani amesomea uongo na uzushi, dah 🐒 wakizidi
unataja taja majina tu kwa mistari isiyo na vina?🤣Hajasingizia mtu,na wakizidi kamdomo atawataja kwa majina kwani alirekodi kila kitu wewe unafikiri Lissu ni mjinga kuwaita waje nyumbani. Wenje ndiye alianza kuwataja wenzake waliopokea fedha za Abduli na Abduli mwenyewe akaja kuwataja tena na wa nyongeza yote hayo Lissu amerekodi anasubiria the right time to pull the 📍.
Anajiropokea tuu baada ya kuvuliwa nguo kesi ya rushwa za abdukibaView attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Madam it counts a lot kuwafahamu kwa majina waliopokea fedha ya Abdul na mama yake kama huoni faida ya kuwajua wasaliti wanakula hela ya CCM na kuja kutudanganya kuwa wako pamoja na sisi basi wewe utakuwa na tatizo kwenye ubongo wako.unataja taja majina tu kwa mistari isiyo na vina?🤣
hiyo sasa itasaidia nini kwa mfano gentleman?
na halafu,
kama yeye mwenyewe hakuchukua pesa na alirekodi, nini kinamshinda kutoa hiyo recording hadharini tuone na kushuhudia uongo na uzushi wake?
anambwekea bwekea nani sasa kama na yeye kuchukua pesa?🐒
Leo ndo umeonyesha rangi yako halisi ,jinsi ambavyo haumpendi Lissu.Kwa hiyo Lissu ndio mwenyekiti wa kamati ya maadili?
Unaweza kuona namna gani huyu jamaa akipewa kuongoza chama atafeli vibaya.
Mbowe kachoka, lakini Lissu hafai.
kibaraka sio tu anatajwa kunufaika na pesa hizo bali pia ananufaika na pesa za mabwenyenye ya magharibi 🐒Madam it counts a lot kuwafahamu kwa majina waliopokea fedha ya Abdul na mama yake kama huoni faida ya kuwajua wasaliti wanakula hela ya CCM na kuja kutudanganya kuwa wako pamoja na sisi basi wewe utakuwa na tatizo kwenye ubongo wako.
kwahiyo muungwana kamsema Lisu tu hajamsema Mbowe, right?🐒Leo ndo umeonyesha rangi yako halisi ,jinsi ambavyo haumpendi Lissu.
Kumbe una low IQ kiasi hiki, kwaheri.kibaraka sio tu anatajwa kunufaika na pesa hizo bali pia ananufaika na pesa za mabwenyenye ya magharibi 🐒
R.I.P in advance mercenary 🐒Kumbe una low IQ kiasi hiki, kwaheri.
Lisu 🤣🤣View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Lisu 🤣🤣View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Magufuli unayemsema hatafufuka kamwe, nyenyere walishamtafuna.Yaani muda mwl mzuri sana. Enzi za Dkt Magufuli tuliwaasa kuwa ndugu Lisu anatumia mabeberu kuidhoofisha nchi kwenye juhudi za kujikomboa kutoma makucha ya mikataba mibovu, yaani alishirikiana na wenzake kama akina Dkt Kafuku, Mwanyika eti kutafuta weakness ya serikali ili wazungu wajiandae kwenda kushitaki serikali, na hatimaye walipata wa kushirikiana nao toka serikalini na matokeo yake waliokuwa wanamshauri Dkt Magufuli wakafanya kwa maelekezo ya akina lisu kuvunja mikaba with loophole ambayo kweli wazungu wametuweza. Leo hii huyo huyo wakala wa wazungu na mueneza ushoga karudi tena sasa kwao eti mnalalamika hahaha tulieni dawa iwangie vizuri
Sasa yupoi ana afadhali uyo na pesa za Abdur nayeye LISU na pesa za Wazungu atuambie yeye famiria yake kule marekani inatuzwa nanani kama sio wazungu. Sasa wivu wake kuona wenzie nao wanafadhiliwa na kina Abdur dhambi kufadhiliwa na Abdur lkn sio zambi yeye na famiria yake kupewa pesa na Wazungu. Uyu jamaaa mzima kweli. Au anadhan watz wajinga sana.Wenje wewe na mwenyekiti wako tayari Abdul amewaweka mfukoni hamtudanganyi tena mumeshakuwa mateka wa CCM. Ni kichaa tu anayeweza kuwaamini
Nyinyi si mmeshaiuza hiyo nchi kwa waarabuna hilo jinga lenu mnalitetea halina hat akili lije liuze nchi kwa wazungu hataweza tunashirikiana kutoa hawezi kutuletea uhuni hapa
Kwa maandishi yako tu unaonyesha wewe ni kilaza wa kutupwa. Mke wa Lissu ni mwanasheria mbobevu na anafanya kazi ya maana Ubelgiji unafikiri atashindwa kuwasomesha watoto wake wawili ambao wana uraia wa Marekani kwa kuzaliwa?Sasa yupoi ana afadhali uyo na pesa za Abdur nayeye LISU na pesa za Wazungu atuambie yeye famiria yake kule marekani inatuzwa nanani kama sio wazungu. Sasa wivu wake kuona wenzie nao wanafadhiliwa na kina Abdur dhambi kufadhiliwa na Abdur lkn sio zambi yeye na famiria yake kupewa pesa na Wazungu. Uyu jamaaa mzima kweli. Au anadhan watz wajinga sana.