Wenje: Nasikitika kwa sababu Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya CHADEMA ameshindwa kusimamia maadili

huo utovu wa nidhamu ni kwa kiasi gani mpaka aitishe kikao? Hebu wenje atulie kwanza chama kipate mwenyekiti mpya
 
Hajasingizia mtu,na wakizidi kamdomo atawataja kwa majina kwani alirekodi kila kitu wewe unafikiri Lissu ni mjinga kuwaita waje nyumbani. Wenje ndiye alianza kuwataja wenzake waliopokea fedha za Abduli na Abduli mwenyewe akaja kuwataja tena na wa nyongeza yote hayo Lissu amerekodi anasubiria the right time to pull the 📍.
 
unataja taja majina tu kwa mistari isiyo na vina?🤣

hiyo sasa itasaidia nini kwa mfano gentleman?

na halafu,
kama yeye mwenyewe hakuchukua pesa na alirekodi, nini kinamshinda kutoa hiyo recording hadharini tuone na kushuhudia uongo na uzushi wake?

anambwekea bwekea nani sasa kama na yeye kuchukua pesa?🐒
 
Anajiropokea tuu baada ya kuvuliwa nguo kesi ya rushwa za abdukiba
 
Madam it counts a lot kuwafahamu kwa majina waliopokea fedha ya Abdul na mama yake kama huoni faida ya kuwajua wasaliti wanakula hela ya CCM na kuja kutudanganya kuwa wako pamoja na sisi basi wewe utakuwa na tatizo kwenye ubongo wako.
 
Hadi leo najutia kumuunga mkono Ezekiel Wenje dhidi ya Dr.Lawrence Masha kwenye Uchaguzi Mkuu, Jimbo la Nyamagana mwaka 2010.

Hakuwa na chochote, no fame, wala connection yoyote huyu kiumbe. Watu wa Nyamagana tukampambania dhidi ya the all powerful Masha, kumbe na yeye ana ujinga mwingi sana.
 
Madam it counts a lot kuwafahamu kwa majina waliopokea fedha ya Abdul na mama yake kama huoni faida ya kuwajua wasaliti wanakula hela ya CCM na kuja kutudanganya kuwa wako pamoja na sisi basi wewe utakuwa na tatizo kwenye ubongo wako.
kibaraka sio tu anatajwa kunufaika na pesa hizo bali pia ananufaika na pesa za mabwenyenye ya magharibi 🐒
 
Lisu 🤣🤣
 
Lisu 🤣🤣
 
Magufuli unayemsema hatafufuka kamwe, nyenyere walishamtafuna.
 
Wenje wewe na mwenyekiti wako tayari Abdul amewaweka mfukoni hamtudanganyi tena mumeshakuwa mateka wa CCM. Ni kichaa tu anayeweza kuwaamini
Sasa yupoi ana afadhali uyo na pesa za Abdur nayeye LISU na pesa za Wazungu atuambie yeye famiria yake kule marekani inatuzwa nanani kama sio wazungu. Sasa wivu wake kuona wenzie nao wanafadhiliwa na kina Abdur dhambi kufadhiliwa na Abdur lkn sio zambi yeye na famiria yake kupewa pesa na Wazungu. Uyu jamaaa mzima kweli. Au anadhan watz wajinga sana.
 
Kwa maandishi yako tu unaonyesha wewe ni kilaza wa kutupwa. Mke wa Lissu ni mwanasheria mbobevu na anafanya kazi ya maana Ubelgiji unafikiri atashindwa kuwasomesha watoto wake wawili ambao wana uraia wa Marekani kwa kuzaliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…