Wenje, FAM na chawa wengineo nawatahadharisha kuwa siku mkimaliza pesa za Abdul na mama Abdul mtafute pa kuficha sura zenuView attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Naamua kukupuuza kwani hujui usemalo na kubisha na kilaza kama wewe ni
Ulidhani jinga kama ww kilaza m1 ww Eti mke wa Lisu ana uraia wa marekani endelea kutetea Lisu lkn uyo ni nikibaraka wa Mazungu apati chochote iwe chadema au Urais wTanzania gani jinga ampigie kura uyo zwazwa. Domo kubwa kuliko kichwa. Kapeleka FamiliaNaamua kukupuuza kwani hujui usemalo na kubisha na kilaza kama wewe ni kupoteza muda.
mshauri mkuu wa shetani ni CCMkwa alivyo na mdomo vile vikao vyote vingekua vinaishia njiani tu na viongozi wengi wangekua wamejiengua chadema 🐒
Maadili yapi wakati mbowe na genge lake ndio wala rushwa wakubwa.View attachment 3189166
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti Ezekiah Wenje amesema anasikitishwa sana na kushindwa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CHADEMA (Tundu Lissu).
Amesema tokea ashike nafasi hiyo hajawahi kuitisha hata kikao kimoja cha kamati hiyo ya maadili na hivi sasa kuna watovu wa nidhamu wengi ndani ya chama. Amesema hayo asubuhi ya leo akihojiwa na Radio ya Wasafi FM.
Dikteta sultani mbowe au?Yeye Lisu aliwafukuza kina Zito na wengine kisa walitaka Uwenyekiti sasa kumbe yeye alitaka kuja kuwa mwenyekiti ndio mana akiona mtu anataka iyo nafasi anatoa macho sasa kaona mwenyekiti nae achoki iyo nafasi kaangia uwanjani kupambana na mwenyekiti uyo jamaa atakuwa Dikteta wakupigiwa mfano