Wenje: Nasikitika kwa sababu Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya CHADEMA ameshindwa kusimamia maadili

Wenje, FAM na chawa wengineo nawatahadharisha kuwa siku mkimaliza pesa za Abdul na mama Abdul mtafute pa kuficha sura zenu
 
Naamua kukupuuza kwani hujui usemalo na kubisha na kilaza kama wewe ni

Naamua kukupuuza kwani hujui usemalo na kubisha na kilaza kama wewe ni kupoteza muda.
Ulidhani jinga kama ww kilaza m1 ww Eti mke wa Lisu ana uraia wa marekani endelea kutetea Lisu lkn uyo ni nikibaraka wa Mazungu apati chochote iwe chadema au Urais wTanzania gani jinga ampigie kura uyo zwazwa. Domo kubwa kuliko kichwa. Kapeleka Familia
nje afu kaja kuchokoza nyuki tz ajali vizaz vya watz ambao ata kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwengine awajawai. Afu watu mnamsaidie ushenzi wake.. alete kwanza Familia yake ndio tutamuelewa..
 
Yeye Lisu aliwafukuza kina Zito na wengine kisa walitaka Uwenyekiti sasa kumbe yeye alitaka kuja kuwa mwenyekiti ndio mana akiona mtu anataka iyo nafasi anatoa macho sasa kaona mwenyekiti nae achoki iyo nafasi kaangia uwanjani kupambana na mwenyekiti uyo jamaa atakuwa Dikteta wakupigiwa mfano
 
Maadili yapi wakati mbowe na genge lake ndio wala rushwa wakubwa.
Rejea sakata la covid 19 na pesa za mama Abdul. Sisi wanachama wa kawaida tunajua uhuni wote mnaoufanya hapo makao makuu
 
Dikteta sultani mbowe au?
Sidhani kama unazo akili hata za kuvukia barabara tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…