brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Mbowe katumia fedha zake kuendesha chama na biashara zake nyingi kufungwa mpiga kelele mwehu lisu yeye hadi nyumba ya kuishi alipewa na mbowe bado ametapeli watu kibao, mmojawapo ni rafiki yangu yupo marekaniKwani Mbowe Alivyotajwa na makonda kwenye list ya wauza unga alikuwa muuza unga? Wenje ni Dalali kama wewe ukivyokuwa Dalali wa madeni hewa na ulishiriki kumshambulia Lisu kwa kumtengenezea madeni hewa Kama yale mbowe huyatumia kujilipa pesa ya chama kienyeji, mmezoea kutengeneza madeni hewa hakuna asiyewajua
Mi nakunya nimekaa kwenye choo cha udongo kwq rahaWewe unanyea nini? [emoji209]
Aende kwani kazuiwa na naniHili jambo likienda kwa court atathibitisha?
Hameni kwani chadema ni yenu?Mbowe na wenje ndiyo Sumu ya kuua chadema kwa sasa
Ndo mtajua chawa wananyonyq damu au maji baada ya tarehe 21Mitusi uropokaji upo kwa Dalali wenje na mbowe masimango kwani sasa hawana jipya wamebakia kulakama tu huku nyinyi chawa wao mnaendelea kula pesa zao kama mchwa na hamuwasaidii kitu
Mimi ni Mwana CCM na MTUMISHI wa Serikali nipo hapa Jijini Mwanza, dogo. Sio mwanasiasa na sitegemei wanasiasa zaidi ya stahili ninazopata kazini na za kujiajiri. Ila hayo hayanizuii kuzijua siasa za nchi hii na wanaoitakia mema nchi mfano Mbowe na wanaoitakia mabaya nchi hii mfano Lissu.Mie nimeshiba sina njaa kama wewe tegemezi wa mbowe mvuta bangi, unaishi kwa fursa sasa uchaguzi ukiisha utakula nini? Mbowe atakuoa? au utarudia kazi yako ya wizi kama Mbowe masimango
Kaa kwa passwordNjombe Bar ilikuwa ya makamu Mwenyekiti wa FAT Mwendazake Kenneth Mbeyela 😂