Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Huna unalojua unaleta ushabiki kwa kumsema Genta wakati wapo wengi kama ungekuwa na busara ungewataja wote wakati wapo wengiRudi kwenye thread yangu uelewe nilichoandika na nini maudhui yake.
Kama umeenda shule japo std 7,utaelewa kuwa mifano huwa michache sana na ikibidi mmoja tu kama wanafunzi ni waelewa.
Sikuwa na haja na wengine.
Kama vile ww akili yako ilivyokuwa ndogo unaanza kusema watu bila kuwa na ushahidiHapo ndipo ulipofikia ufahamu,na uelewa wako.
Umesoma vizuri Nada au unaropoka tu?Kwakweli hii nchi kuna tatizo mahala. Simba wameiheshimisha hii nchi kwa misimu 4 lakini Yanga hawajawahi kuipongeza Simba hata indirectly tu.Unadhani huo ni uungwana?
Nilifarijika sana pale Mo Dewji alipowapongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa NBCL musimu wa 2021/22 pamoja kumtukana kote kule,plus wao kutoipongeza Simba kwa misimu yote 4. Watu wa aina ya Mo ni wachache sana kwenye soka letu shithole.
Jukwaa limevamiwa na vijana wenye uwezo wa kuimba bongo fleva,That's why kabla hujaandika kitu fanya kwanza utafiti angefanya utafiti angejua maana jambo linaonekana wazi kabisa kama unaingia mara kwa mara Forum lazima ungejua tu na kama haingii angetulia kabla ya kuja na hitimisho kitendo cha kumtaja mtu mmoja wakati wapo wengi huo ndio ushabiki wenyewe
Kwanini asifanye utafiti wakuwajua hao watu kuliko kumtaja mtu mmoja peke yake huoni hapo tayari kama kashamuharibia peke yake?
Naogopa kufanana na wewe,endelea na uelewa ulionaoKama vile ww akili yako ilivyokuwa ndogo unaanza kusema watu bila kuwa na ushahidi
Yaan unaandika kitu unaleta bias kIbao hivi unadhani nani atakuelewa kama ww ungekuwa na akili usingefanya bias
Huna unalojua kama ungekuwa na akili usingefanya bias ya wazi unaona madhara yake hata wakati tunajifunza research sababu moja inayo hinder research ni bias kama ulivyofanya wwJukwaa limevamiwa na vijana wenye uwezo wa kuimba bongo fleva,
Huwezi kufanana na mm kwakuwa mm siwezi kuwa sina busara ungekuwa na akili usingefanya upendeleo wa wazi kabisa kwa kumtaja mtu mmoja na kuacha wengine yaan uzi wako ungekuwa bora ila ulipofanya upendeleo nikajua kuwa hata ww ndio wale wale tu ila umekuja kwa style nuingne huna tofauti na hao unaowasemaNaogopa kufanana na wewe,endelea na uelewa ulionao
Nchi yeyote ile imeweka sheria ya criminal threats, na record zinaonesha watu wengi wameenda jela kwa kutishia tuNamna ya kifo cha wengi ni harusi.Unanifatafata Sana,sikuogopi huna cha kunifanya ,naweza kukufanya lolote.Je hii katika SOKA ina hatari gani? Kupiga kampeni dhidi ya Karia akaondoka tff ina ubaya gani? Kama Haji alimaanisha kugombea na kumshinda Karia, Ina ubaya gani? Kama ilitafsiriwa kijinai,je,kumfungia Haji ndo Karia atakuwa salama? Kama vipi liende kwenye mahakama za kiraia kama lile Barbara.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Uzi upo ila hukuongea chochoteUnaweza kunitafutia Uzi alipofungiwa Shafii Dauda uone tuliongea nini?
Kiufupi saizi amembwera na anataka kuleta ucheshi wakishamba kuwaaminisha wajinga wajue hapitii kipindi kigumu🚨 KUTOKA KWA BUGATI
Kupanga ni kuchagua. Wakati Yanga akichukua Treble this season kwa kushinda Ngao Ya Jamii, Azam federation na Ligi kuu, Makolo Treble zao ni
👉Mpole Cup
👉Sopu Cup
👉Sakho Cup Kiufupi chake Treble ya Manyonyo inaitwa MSOSA.
Nb :: Tabu ipo pale pale Makolo,,hadi mtueleze kale katwenty mmekaficha wapi MSOSA KAMA MSOSA TREBLE Byuti Byuti 🏆🏆🏆
The same goes to haji let the dude enjoy his banPamoja na ushauri na maoni hayo ya Shaffiiiii, acha avurumishiwe maneno ya hovyo!
Ila hongereni kwa MSOSA TREBLEKiufupi saizi amembwera na anataka kuleta ucheshi wakishamba kuwaaminisha wajinga wajue hapitii kipindi kigumu
Umekua na matusi sana alf una beef gani na Haji?Nilikuaje?? Na sahivi nimekuajeee???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti.
Lugha iliyotumika hapo sio wingi ni dhihakaUwingi wa kilo ni ulemavu? Watu wengine bhana!
Kama hujaelewa kaa kimya, wengine walioelewa wachangie.
UKIMYA NAO NI BUSARA
ImaraIla hongereni kwa MSOSA TREBLE
Tatizo la Tanzania unafki huyo huyo haji alipofungiwa Madega alifurahi na wengine..Hapo ndio tatizo la wadau wengi napoliona
Kilichotokea juzi ni matokeo ya matukio mengi ambayo aliyafanya na mkayayamazia kimya
Kama unaona ameonewa kwasababu kapigwa faini ebu jaribu kufikiria yule aliyefungiwa miaka mitano kwa kupost tangazo la TFF
Huyo unayemtetea kuwa ana familia inayomtegemea kumbuka ndio huyo huyo alikuwa akimshinikiza majizo amfukuze kazi Jemedari Saidi bila kujari familia yake itakula wapi
Unafahamu maana ya bias?Huna unalojua kama ungekuwa na akili usingefanya bias ya wazi unaona madhara yake hata wakati tunajifunza research sababu moja inayo hinder research ni bias kama ulivyofanya ww