Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chakula watu wataharisha aisee🙌
Weee huharishi chakula kitamu hiko na kinaliwa kwa mkono kikiwa cha motoHiki chakula watu wataharisha aisee🙌
Aisee nimeangalia video lakini bado nafeliAngalia vizuri hapo unitajie majina ya mboga saba za asili unazoziona katika hicho chakula
Labda kwa sababu nishashiba kande hapa...yaan sijui nakionajeWeee huharishi chakula kitamu hiko na kinaliwa kwa mkono kikiwa cha moto
Wamechanganya?Senene
Aisee nimeangalia video lakini bado nafeli
Nimeona maziwa, senene, njegere, kunde, mboga ya majani, nyama choma na ndizi. Hivyo vingine sivijui
Vinyanya vidogovidogo vinafaa zaidi kupikia dagaa na mboga za majani hususani matembeleNdo nini
Huwezi elewa kama sio mzawaLabda kwa sababu nishashiba kande hapa...yaan sijui nakionaje
Hiyo mboga ya majani inaitwa kwa kiluga "eibota" ni majani machanga ya magimbi! TraineeSenene
Aisee nimeangalia video lakini bado nafeli
Nimeona nyanya mshenzi, maziwa, senene, njegere, kunde, mboga ya majani kama siyo kisamvu basi majani ya kunde, nyama choma na ndizi. Hivyo vingine sivijui
Acha wivu we umbwaa kula junkies zako hapo CopenView attachment 3181107
Ndo maana IQ zetu zina mushkel.