Wenye chakula chao, nitajie majina ya mboga saba za kiasili unazozifahamu na kuziona hapo! 10k mfuko wa shati!

Wenye chakula chao, nitajie majina ya mboga saba za kiasili unazozifahamu na kuziona hapo! 10k mfuko wa shati!

Haya malizia 4 zilizobaki alafu njoo pm nakurushia sasa hivi kupitia wakala for anonymity!
 
Halafu muulize wahaya tunatoa wapi akili tunakula vya asili
Senene
Ntula
Nyama choma
Maharage
Nyaya za asili
Nyama za kwenye ndizi
Vegetable za kupikwa kwa mvuke
Hiko chakula ni kitamu asikwambie mtu na kinaliwa kwenye Jani la mgomba ladha yake si mchezo
 
Senene
Angalia vizuri hapo unitajie majina ya mboga saba za asili unazoziona katika hicho chakula
Aisee nimeangalia video lakini bado nafeli
Nimeona nyanya mshenzi, maziwa, senene, njegere, kunde, mboga ya majani kama siyo kisamvu basi majani ya kunde, nyama choma na ndizi. Hivyo vingine sivijui
 
Vinyanya vidogovidogo vinafaa zaidi kupikia dagaa na mboga za majani hususani matembele

Mara nyingi nyumba iliyohamwa ndiyo ilikuwa maarufu kwa kuota nyanya hizi kwenye maeneo yake mfano Wamasai wakihama na mifugo yao basi pale kwenye mahame ya maboma unakuta nyanya mshenzi kibao zimeota
 
Senene

Aisee nimeangalia video lakini bado nafeli
Nimeona nyanya mshenzi, maziwa, senene, njegere, kunde, mboga ya majani kama siyo kisamvu basi majani ya kunde, nyama choma na ndizi. Hivyo vingine sivijui
Hiyo mboga ya majani inaitwa kwa kiluga "eibota" ni majani machanga ya magimbi! Trainee
 
Back
Top Bottom