Hapana. labda uedit. post imesema wenye grup O tu, haikuweka tahadhari hii usemayo sasa mkuu. bado sijaanza kusinzia.nimeilewa vema.Hapa tumeongelea kwa mtu mwenye afya njema out of magonjwa sugu kama sukari,pumu na ukimwi.
Ukienda kwa lengo la kutoa damu ni burekipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala strokeO -
Ova
Wengine je?Hao ndio wana wa Mungu
Joke
The Japanese believe that people with O blood type are generous, passionate, sociable and financially successful and that the best romantic match is found between type O and type A people
Kuna O+ na 0-.....Story za vijiweni hizi... Group O la damu ndilo lenye watu wenhi zaidi duniani. Kuhusu magonjwa haina uhusiano na blood group bali seli hai za damu
kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Kama umelipa hiyo isiyozidi 20000 kupima grup la damu bc nakupa pole.Ni rahisi sana hafiki ata 20,000/= ni muhimu sana kujua hili siku ata umepata ajali unaweza kumwambia dactor blood group lako wakakuongezea bila ata kukupima ikiwa umepoteza damu nyingi.
Duh...kweli maana sijaumwa ugonjwa wwte zaidi ya miaka 20+We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
O -
Ova
tupo pamojaNa wenye O-, kuna baadhi yao hata ukimwi hawawezi pata kamwe!!ila ni kundi la wachache sana!!
mm mara ya mwisho kwend hosptal ilikuwa 2007 nilienda kupigwa sindano ili jipu liive haraka.Duh...kweli maana sijaumwa ugonjwa wwte zaidi ya miaka 20+
Ova
TZS 2,000.00 (Elfu mbili tu boss).kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Kifo hana muda na wewe anakuona kama mzigo wa misumari tuuWazee wa O tupo,wakati Covid inaanza nilishawai kumuhudumia mgonjwa wa Covid kwa kumbeba na kumpakia kwenye ndinga yake kumpeleka hospitali,nashkuru mimi sikudhurika kwa chochote mpaka sana naendelea kutafuna nyama za kienyeji na za kishua.
Hawanaga nguvu za kiume hao, daily wanashinda kwa Mwamposa wakipaka mafuta ya upako nyeti zao ili ziimarike lakini wapi, wakitoka huko wanaenda kwenye vumbi la Kongo lakini wapi . Baada ya hapo wanaenda kunywa mchuzi wa pweza lakini wapi.....Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.