Muikizu muelewa
Member
- Jul 28, 2021
- 35
- 31
Ndio group langu hiloLeo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio group langu hiloLeo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Haizidi 5000kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
5,000 nimepima mwaka janaNi rahisi sana hafiki ata 20,000/= ni muhimu sana kujua hili siku ata umepata ajali unaweza kumwambia dactor blood group lako wakakuongezea bila ata kukupima ikiwa umepoteza damu nyingi.
Wana wa yule muovuWengine je?
Mimi nina O- ila Covid niliumwa ile phase 1 kwakweli haikunisumbua kias cha kukosa usingizi wala kushindwa kufanya kazi zangu! Nilitumia Tangawizi na Malimau pamoja na vitunguu swaumu kwa siku 3 tu nikawa nimepona kabisa.Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
Ni wakike au wakiume? Kama wakike ukuje nikupe hiyo O- kama wakiume poteamsaada tafadhari nalipataje hilo group la 0- ??
Group O wanalisingizia sana.Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
Ww group lako ni CCM usijisumbue bure.kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Leo ndo nimejua hii kitu, mimi ni group 0-, acid huwa inanisumbua sana, ila kwenye mbu sasa, mbu wanatushambulia balaa, unaweza kaa na mtu mwingine sehemu yenye mbu na wala hata asijitikise ila wewe sasa, mbu wanakushambulia balaa.We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Nikiwepo na mimi!!Na wenye O-, kuna baadhi yao hata ukimwi hawawezi pata kamwe!!ila ni kundi la wachache sana!!
Hata wewe ulipigwa kupima ni buku 2 tuKama umelipa hiyo isiyozidi 20000 kupima grup la damu bc nakupa pole.
Mimi nilipima mara tatu sehemu tofauti wakati tofauti na nina group 0+
sehemu ya kwanza na ya pili ni kwenye kuchangia damu na sehemu ya tatu ya binafsi wakaniambia kupima ni 5000 ila nikalia-lia pale wakanipima kwa 3000.
Ni kwamba kupima damu sehemu zote haizidi 5000
mkuu jitahidi walau kusoma vitabu ndo uje hi hii hoja. Unachosema si kweli yaani ni bonge la uongo. Nauita uongo maana unapotosha wengine.Story za vijiweni hizi... Group O la damu ndilo lenye watu wenhi zaidi duniani. Kuhusu magonjwa haina uhusiano na blood group bali seli hai za damu
Ni rahisi sana hafiki ata 20,000/= ni muhimu sana kujua hili siku ata umepata ajali unaweza kumwambia dactor blood group lako wakakuongezea bila ata kukupima ikiwa umepoteza damu nyingi.
Ni kweli mzee wangu ila c unajua tena vituo binafsi hua wanatofautiana
Does blood type affect the risk of severe illness from COVID-19?Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
Mada ya uzi huu umesoma na ukaelewa,au ume-quote tu bwashee?Kifo hana muda na wewe anakuona kama mzigo wa misumari tuu