Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Mungu anatuwekea mbeleko tu mkuuO negative ni habari nyingine hawasumbuliwi hata na stroke wala blood pressure.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anatuwekea mbeleko tu mkuuO negative ni habari nyingine hawasumbuliwi hata na stroke wala blood pressure.....
Haifiki hata 10kkipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Wapata wapi uwezo wa kuongea ukipoteza damu nyingi?Ni rahisi sana hafiki ata 20,000/= ni muhimu sana kujua hili siku ata umepata ajali unaweza kumwambia dactor blood group lako wakakuongezea bila ata kukupima ikiwa umepoteza damu nyingi.
Sehemu zote?Kama umelipa hiyo isiyozidi 20000 kupima grup la damu bc nakupa pole.
Mimi nilipima mara tatu sehemu tofauti wakati tofauti na nina group 0+
sehemu ya kwanza na ya pili ni kwenye kuchangia damu na sehemu ya tatu ya binafsi wakaniambia kupima ni 5000 ila nikalia-lia pale wakanipima kwa 3000.
Ni kwamba kupima damu sehemu zote haizidi 5000
Hata ukimwi piaLeo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Tupo group moja Mkuu njoo inbox tupeane nambaGroup langu hilo
Ova
We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Ukweli wengi nimewaona wanapata acid na sijui inatoka wapi,Wacha niendelee kufanya researchNimepata jibu kwanini mimi na acid ni marafiki asee, shukrani, hii kitu inanitesa sana
Ni O+ ndio ipo resistant sana na magonjwa.O negative ni habari nyingine hawasumbuliwi hata na stroke wala blood pressure.....
Dah nasisi wa 0+ je ubora wetu ni upi?
O+ ndio resistant zaidiO- au 0+?
Umesikia wapi jomba?Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Nipo hapa Sina uhakika,lkn naona dalili ya kwenye Koo kama napaliwa hiv niliona hii haki naona kabisa kirona imeingia mwilimu nawahi chai ya limao, na medication nyingine sio kwamba tunakaa tu kusubiri.Na wenye O-, kuna baadhi yao hata ukimwi hawawezi pata kamwe!!ila ni kundi la wachache sana!!
Chanzo cha habari hii mkuu!?Leo nimesikia watu wenye damu group o hawasumbuliwi sana na Corona.Ivi damu group hili ina nn special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta ata magonjwa ya kawaida.
Aga khan na ocean road ukafanye nini mzee wangu, ndo maana malaria haitibiwi MuhimbiliSehemu zote?
Agha khan ama ocean road wafanye kazi ya 5000?