Wenye dunia yao hawawezi kukubali kamwe Mrusi ashinde vita

Wenye dunia yao hawawezi kukubali kamwe Mrusi ashinde vita

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mrusi kushinda hii vita itakuwa ni tusi kubwa sana kwa US na mataifa makubwa barani ulaya.

Haya mataifa makubwa yameshaonyesha wazi wazi kuwa yapo nyuma ya Ukraine, ila wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.

Ni kweli Ukraine itakuwa magofu matupu na mpaka sasa imepoteza wanajeshi wengi sana, ila mrusi kushinda vita hili halitotokea. Naiona hii vita ikichukua muda mrefu sana kumpata mbabe.
 
Mrusi kushinda hii vita itakuwa ni tusi kubwa sana kwa US na mataifa makubwa barani ulaya.

Haya mataifa makubwa yameshaonyesha wazi wazi kuwa yapo nyuma ya Ukraine,ila wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.

Ni kweli Ukraine itakuwa magofu matupu na mpaka sasa imepoteza wanajeshi wengi sana, ila mrusi kushinda vita hili halitotokea. Naiona hii vita ikichukua muda mrefu sana kumpata mbabe.
Putin amepanda basi ambalo hajui anapoenda ...

Ngoja mda ufike atajifunza kuwa kuna ulimwengu na wenye ulimwengu..
 
wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.
Kuwa kwao deep kunasaida nini wakati Ukraine ikisagwa namna hii!?

Wewe sema vita itachukua muda mrefu, lakini suala la Russia kukubali kushindwa hilo sahau kabisa.
Labda wamuue 'Wekandani'.

Ninavyoiona hii vita itaisha tu endapo watakaa chini kwa mazungumzo na kuamua kukubaliana kutokukubaliana.
 
Mrusi kushinda hii vita itakuwa ni tusi kubwa sana kwa US na mataifa makubwa barani ulaya.

Haya mataifa makubwa yameshaonyesha wazi wazi kuwa yapo nyuma ya Ukraine,ila wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.

Ni kweli Ukraine itakuwa magofu matupu na mpaka sasa imepoteza wanajeshi wengi sana, ila mrusi kushinda vita hili halitotokea. Naiona hii vita ikichukua muda mrefu sana kumpata mbabe.
hili siyo la kwanza kwa mataifa haya makuu mawili (Russia na USA)
 
Mrusi kushinda hii vita itakuwa ni tusi kubwa sana kwa US na mataifa makubwa barani ulaya.

Haya mataifa makubwa yameshaonyesha wazi wazi kuwa yapo nyuma ya Ukraine, ila wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.

Ni kweli Ukraine itakuwa magofu matupu na mpaka sasa imepoteza wanajeshi wengi sana, ila mrusi kushinda vita hili halitotokea. Naiona hii vita ikichukua muda mrefu sana kumpata mbabe.
Mrusi ameshakwambia sasa ni mwisho wa utawala wa mbabe mmoja..........sahivi wanakuja wababe wengine na watakua na influence sawa au zaidi ya huyo mbabe anae expire
 
Putin amepanda basi ambalo hajui anapoenda ...

Ngoja mda ufike atajifunza kuwa kuna ulimwengu na wenye ulimwengu..
Mtajifsriji sana najua ikifika December mtabadilisha maneno mtasema ohoo alishindwa kuichukia Kiev kwaiyo hajashinda vita wakati maeneo yote aliyoyataka kachukua hii vita imeshaisha saivi mtajifariji Tu tatizo wengi mnaichukulia Rusia kama nchi isiyojua hii dunia inaendaje
 
Ndiyo maana mi sasa sipendi kusafiri, Russia lazima awa nuke
Kiburi cha Putin kinakaribia mwisho, tayari Ujasusi wa USA&NATO unakaribia kukimaliza kiburi cha Putin cha kutishia dunia na Nyukilia.

________________

Kanali Mstaafu wa Urusi Vadim Zimin ambaye amekuwa akibeba kisanduku cha Nyukilia cha Rais Vladimir Putin amekutwa akiwa amepigwa risasi nyumbani kwake karibu na jiji la Moscow.

Zimin (53) hivi sasa ana hali mbaya sana na yupo kwenye chumba cha uangalizi wa hali ya juu(ICU) na inasemakana amefariki.

"Putin colonel Vadim Zimin who carried Russian president’s nuclear codes found dead at home - Fox3 Now" Putin colonel Vadim Zimin who carried Russian president’s nuclear codes found dead at home - Fox3 Now

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mimi naomba nitofautiane na wewe hapa kidogo

- Westerns wao kile wanachokitafuta ni lazima watakipata, sasa sote hapa hatujui wanakitaka kitu gani.

- Pengine walitaka kuweza kutambua ukubwa wa jeshi la urusi na ana zana zipi za kisasa za kivita au kumdhoofisha kiuchumi zaidi ili asiweze kuzitunza nukes alizonazo.

- Kwahiyo Russia anaweza akashinda vita lakini ni muda ambao tayari Westerns wameshakipata kile wanachokitaka.

Nakubaliana na wewe mleta mada, linapokuja suala la fitna na unyama, US na UK ni watu wengine kabisa ktk ulingo huo. Kama pesa wanazo, silaha ambazo ni very advanced wanazo ila wao hawanaga mashow off kama russia, korea n.k ila jamaa vyuma wanavyo hasa.

Masuala ya pesa tusizungumze maana russia kwa hizo nchi ni maskini wa kutupwa, hata Japan kampiga parefu mrusi.
 
Mrusi ameshakwambia sasa ni mwisho wa utawala wa mbabe mmoja..........sahivi wanakuja wababe wengine na watakua na influence sawa au zaidi ya huyo mbabe anae expire
Russia kwa ubabe upi? Si bora uzungumzia China, UK n.k? Mbabe asiye na infuence? Mbabe masikini?
 
Mimi naomba nitofautiane na wewe hapa kidogo

- Westerns wao kile wanachokitafuta ni lazima watakipata, sasa sote hapa hatujui wanakitaka kitu gani.

- Pengine walitaka kuweza kutambua ukubwa wa jeshi la urusi na ana zana zipi za kisasa za kivita au kumdhoofisha kiuchumi zaidi ili asiweze kuzitunza nukes alizonazo.

- Kwahiyo Russia anaweza akashinda vita lakini ni muda ambao tayari Westerns wameshakipata kile wanachokitaka.

Nakubaliana na wewe mleta mada, linapokuja suala la fitna na unyama, US na UK ni watu wengine kabisa ktk ulingo huo. Kama pesa wanazo, silaha ambazo ni very advanced wanazo ila wao hawanaga mashow off kama russia, korea n.k ila jamaa vyuma wanavyo hasa.

Masuala ya pesa tusizungumze maana russia kwa hizo nchi ni maskini wa kutupwa, hata Japan kampiga parefu mrusi.
RUSSIA hajaanza leo kupigana na western leo
Nahataishia leo wakat wanamtwanga GEORGIA 2008 kwawakat ule alikua weak KIUCHUMI KIJESHI KISIASA kuliko aasa ila bado western hawakumuweza kumshusha
Wakaja wakatwangana SYRIA mda huu tunaona wananyooshana UKRAINE
Hawa majamaa kupigana Direct tusaháu kabisaaa ila ikitokea ndio tutaona mwisho wao
Nimekua mvivu kuandika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom