Wenye dunia yao hawawezi kukubali kamwe Mrusi ashinde vita

Wenye dunia yao hawawezi kukubali kamwe Mrusi ashinde vita

Mrusi kushinda hii vita itakuwa ni tusi kubwa sana kwa US na mataifa makubwa barani ulaya.

Haya mataifa makubwa yameshaonyesha wazi wazi kuwa yapo nyuma ya Ukraine, ila wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.

Ni kweli Ukraine itakuwa magofu matupu na mpaka sasa imepoteza wanajeshi wengi sana, ila mrusi kushinda vita hili halitotokea. Naiona hii vita ikichukua muda mrefu sana kumpata mbabe.
Ninacho kiona mimi Majenerali wa jeshi la Ukraine watampindua Zelensky kuliko kuendelea kumuunga mkono huku nchi Taifa lao likiendelea kuteketezwa na kupoteza wanajeshi wengi pamoja na raia wasio na hatia,kumbuka Majenerali wengi wa Ukraine wanajuana na Majenerali wa jeshi la Urusi kutokana na kwenda kwao kwenye shule za kijeshi kwa pamoja enzi za iliyokuwa Soviet Union, hivyo tusione ajabu wakikubali ku-surrender kwa jeshi la Urusi ili kuinusuru Ukraine na baadae kuelewana na Russia,najuwa America haitaunga mkono jeshi la Ukraine kujisalimisha,lakini kumbe wafanyeje maana wanakuwa kwamba wanao angamia ni Waukraine na si Wamerikani - kumbe Waukraine wafanyeje ili wanusuru Taifa lao na raia ni wazi watakata shauri kujisalimisha na kuhacha kuendelea kufuata ushauri potofu wa utawala wa Merikani.

Vigumu kuelewa Zelensky anawaza nini!! Yeye masaa yote ni kuomba kuongezewa silaha pamoja na fedha, hataki kumaliza vita kwa njia ya mazungumzo - ubabe ubabe na ujeuri tu, huku Taifa lake na maelfu ya raia wasio na hatia pamoja na wanajeshi wakiuwawa kwa wingi,yeye hana habari anawasikiliza washauri wake wa Mataifa ya magharibi US in particular,who have nothing to loose wanawatumia wa Ukraine yao ya siku nyingi
ya kutaka kuishambaratisha Urusi kwa njia ya colour revolution/regime change kama ilivyo tokea huko Ukraine.
 
Kiburi cha Putin kinakaribia mwisho, tayari Ujasusi wa USA&NATO unakaribia kukimaliza kiburi cha Putin cha kutishia dunia na Nyukilia.

________________

Kanali Mstaafu wa Urusi Vadim Zimin ambaye amekuwa akibeba kisanduku cha Nyukilia cha Rais Vladimir Putin amekutwa akiwa amepigwa risasi nyumbani kwake karibu na jiji la Moscow.

Zimin (53) hivi sasa ana hali mbaya sana na yupo kwenye chumba cha uangalizi wa hali ya juu(ICU) na inasemakana amefariki.

"Putin colonel Vadim Zimin who carried Russian president’s nuclear codes found dead at home - Fox3 Now" Putin colonel Vadim Zimin who carried Russian president’s nuclear codes found dead at home - Fox3 Now

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app

Wewe kweli mgeni asee, nipe evidence za kuhusika kwa ujasusi wa NATO. Hivi hujui kama unajua siri nyingi za taifa unaweza kuwa threat na ukawa target? Usifanye kichwa chako kiwe cha kutunzia meno na nywele tu.
 
Mimi naomba nitofautiane na wewe hapa kidogo

- Westerns wao kile wanachokitafuta ni lazima watakipata, sasa sote hapa hatujui wanakitaka kitu gani.

- Pengine walitaka kuweza kutambua ukubwa wa jeshi la urusi na ana zana zipi za kisasa za kivita au kumdhoofisha kiuchumi zaidi ili asiweze kuzitunza nukes alizonazo.

- Kwahiyo Russia anaweza akashinda vita lakini ni muda ambao tayari Westerns wameshakipata kile wanachokitaka.

Nakubaliana na wewe mleta mada, linapokuja suala la fitna na unyama, US na UK ni watu wengine kabisa ktk ulingo huo. Kama pesa wanazo, silaha ambazo ni very advanced wanazo ila wao hawanaga mashow off kama russia, korea n.k ila jamaa vyuma wanavyo hasa.

Masuala ya pesa tusizungumze maana russia kwa hizo nchi ni maskini wa kutupwa, hata Japan kampiga parefu mrusi.

Aisee kwenye suala la show off hao shoga zako ndo wanaongoza nani asiyejua matambo ya US?? Inshort mmeingia cha kike, Russia sio level yenu.

Unaomba Russia atumie nuke? Europe ita endelea kuexist kwenye map?? Mbona mna akili za kitoto nyie Pro-NATO?

Nitajie hizo adanced weapons unazosisemea ambazo NATO wanazo.
 
Mimi naomba nitofautiane na wewe hapa kidogo

- Westerns wao kile wanachokitafuta ni lazima watakipata, sasa sote hapa hatujui wanakitaka kitu gani.

- Pengine walitaka kuweza kutambua ukubwa wa jeshi la urusi na ana zana zipi za kisasa za kivita au kumdhoofisha kiuchumi zaidi ili asiweze kuzitunza nukes alizonazo.

- Kwahiyo Russia anaweza akashinda vita lakini ni muda ambao tayari Westerns wameshakipata kile wanachokitaka.

Nakubaliana na wewe mleta mada, linapokuja suala la fitna na unyama, US na UK ni watu wengine kabisa ktk ulingo huo. Kama pesa wanazo, silaha ambazo ni very advanced wanazo ila wao hawanaga mashow off kama russia, korea n.k ila jamaa vyuma wanavyo hasa.

Masuala ya pesa tusizungumze maana russia kwa hizo nchi ni maskini wa kutupwa, hata Japan kampiga parefu mrusi.

Russia maskini?? Mbona sasa mnalalamika Russia ndo amefanya bei za bidhaa na mafuta zi inflate kwenye nchi zenu.
 
"Wenye Dunia Yao"
Dah! Ama kweli propaganda zimewaingia sana.
Hii Dunia Haina mwenyewe baba.
Kama hao ndio wenye Dunia mbona Korea Kaskazini wamemshindwa.? Na Yuko peke yake TU.
Fidel Castro wa Cuba walijaribu kumpindua ama kumuua lakini Hadi alistaafu akiwa mzima wa afya,na cubu ni kilometa kadhaa kifika USA ikiwa ni kakisiwa kadogo TU.

Urusi.
Urusi imewahi kuipiga Georgia Rais wake akiwa Mikhail sakashiviil,huyu nae alitiwa chumvi na ndimu na hao hao unaowaita wenye Dunia.
Alikua msukule wao kama vile Zelensky.
Putin Urusi waliipiga Georgia nadhani kwa siku nane TU na akazitangazia uhuru majimbo mawili ya south and north Ossetia na Abkhazia.

Miaka kadhaa baadae wakachukua Jimbo la Crimea kibabe huko Ukraine.
Haya yote yalifanyika mbele ya macho ya Hao unaowasema wenye Dunia.

Sasa safari hii naomba nikuambie jambo.
Hao unaowaita wenye Dunia ,wakijidai kuingia vitani na Urusi TU,ujue China nae ataingia,Irani ataingia,Syria ataingia,Korea Kaskazini ataingia hao niliowataja ni kwa uchache TU.lakini wapo wengine watakao ingia kwa upande wa Urusi.
Maana wanajua Urusi akishindwa wanaofuata watakua ni wao.

Kumbuka upande wa NATO nchi zinazojiweza ni USA,UK,FR,Germ,Canada na Itali.
Sasa jiulize ni nchi Gani ya Ulaya Iko tayari kutoweka katika uso wa Dunia kwa ajili ya Ukraine TU.?
 
Kiburi cha Putin kinakaribia mwisho, tayari Ujasusi wa USA&NATO unakaribia kukimaliza kiburi cha Putin cha kutishia dunia na Nyukilia.

________________

Kanali Mstaafu wa Urusi Vadim Zimin ambaye amekuwa akibeba kisanduku cha Nyukilia cha Rais Vladimir Putin amekutwa akiwa amepigwa risasi nyumbani kwake karibu na jiji la Moscow.

Zimin (53) hivi sasa ana hali mbaya sana na yupo kwenye chumba cha uangalizi wa hali ya juu(ICU) na inasemakana amefariki.

"Putin colonel Vadim Zimin who carried Russian president’s nuclear codes found dead at home - Fox3 Now" Putin colonel Vadim Zimin who carried Russian president’s nuclear codes found dead at home - Fox3 Now

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Huyu kanali hakuwa active, ni mtuhumiwa aliekuwa under house arrest kwa kosa la kula rushwa , kwahiyo ni useless huyu kanali
 
Mimi naomba nitofautiane na wewe hapa kidogo

- Westerns wao kile wanachokitafuta ni lazima watakipata, sasa sote hapa hatujui wanakitaka kitu gani.

- Pengine walitaka kuweza kutambua ukubwa wa jeshi la urusi na ana zana zipi za kisasa za kivita au kumdhoofisha kiuchumi zaidi ili asiweze kuzitunza nukes alizonazo.

- Kwahiyo Russia anaweza akashinda vita lakini ni muda ambao tayari Westerns wameshakipata kile wanachokitaka.

Nakubaliana na wewe mleta mada, linapokuja suala la fitna na unyama, US na UK ni watu wengine kabisa ktk ulingo huo. Kama pesa wanazo, silaha ambazo ni very advanced wanazo ila wao hawanaga mashow off kama russia, korea n.k ila jamaa vyuma wanavyo hasa.

Masuala ya pesa tusizungumze maana russia kwa hizo nchi ni maskini wa kutupwa, hata Japan kampiga parefu mrusi.
Sawa, waingie kupigana sasa tumechoka risala na vikao.
 
Mrusi kushinda hii vita itakuwa ni tusi kubwa sana kwa US na mataifa makubwa barani ulaya.

Haya mataifa makubwa yameshaonyesha wazi wazi kuwa yapo nyuma ya Ukraine, ila wanajificha tu kwenye mwamvuli wa kuisaidia Ukraine silaha, ila wapo deep sana kwenye hii vita.

Ni kweli Ukraine itakuwa magofu matupu na mpaka sasa imepoteza wanajeshi wengi sana, ila mrusi kushinda vita hili halitotokea. Naiona hii vita ikichukua muda mrefu sana kumpata mbabe.
Urusi inashinda mchana kweupe ndiyo maana inatoa uraia wa urusi kwenye miji iliyo tekwa kisha anaunda jeshi jipya kwa kutumia wayukraine wenye uraia wa urusi ...sijui unajua nini maana yake ...
 
Putin miscalculated

The United States is using Ukraine as a weapon against Russia, American director Oliver Stone said in an interview with La Repubblica newspaper.

He also expressed confidence that the war was provoked. At the same time, the director believes that in the end everything will turn against the United States.

"Our energy and food supply largely depend on Russia. Everything will turn against us, and we are already seeing this with inflation. Ukraine is used by the United States as a weapon against Russia. They say that the war was not provoked, but I think it was," Oliver Stone said.

Huyo ni MMarekani orijino,sio wamarekani wa kuchora.
 
Back
Top Bottom