Wenye hela benki kuweni makini na akaunti zenu

Wenye hela benki kuweni makini na akaunti zenu

Hueleweki. Bank statement ni taarifa za akaunt katika karatasi au softcopy. Unavyoelezea ni as if akunti ni box fulani lenye pesa wakati ni taarifa tu. Embu eleza vzr hapo unaposema bank statement fedha zipo ila kwenye akaunt hazipo.
Sasa hujaelewa nini? Ameeleza utaratibu unavofanyika katika kufanya malipo, ni lazima kwanza kupata bank statement na ameeleza balance katika bank statement inaonesha pesa ipo ya kutosha tu.

Katika kukamilisha muamala ikashindikana, kwa maana salio halisi katika bank acc lilionekana kuwa kidogo/tofauti na lilioneshwa katika statement.

Rudia kusoma vizuri, taratibu utamuelewa.
 
Mabenki haya ya ndani ni majizi sana ,Bank za nje hakuna huo upuuzi.

CRDB ni wezi sana ,Stanbic wapo vizuri.
Hawa hawa Stanbic au kuna wengine?
Screenshot_20230120-125514.jpg
 
Hueleweki. Bank statement ni taarifa za akaunt katika karatasi au softcopy. Unavyoelezea ni as if akunti ni box fulani lenye pesa wakati ni taarifa tu. Embu eleza vzr hapo unaposema bank statement fedha zipo ila kwenye akaunt hazipo.
sa hujaelewa nini mbona kama we ndo hueleweki
 
Sasa hujaelewa nini? Ameeleza utaratibu unavofanyika katika kufanya malipo, ni lazima kwanza kupata bank statement na ameeleza balance katika bank statement inaonesha pesa ipo ya kutosha tu.

Katika kukamilisha muamala ikashindikana, kwa maana salio halisi katika bank acc lilionekana kuwa kidogo/tofauti na lilioneshwa katika statement.

Rudia kusoma vizuri, taratibu utamuelewa.
Elewa hoja yangu boss.
bank statement ni taarifa za akaunti, Taarifa zikitofautiana basi labda umepewa taarifa mbili zenye tarehe tofauti. Akaunt ni taarifa za kuingiza na kutoa pesa, pesa halisi zipo kwenye safe huko na ni za wote.
 
sa hujaelewa nini mbona kama we ndo hueleweki
Boss. Taarifa za kutoa na kuweka fedha za akaunt yako haziwezi kutofautiana unless umepewa taarifa za tarehe tofauti sababu bank statement ni taarifa za miamala na akaunt maana yake ni taarifa za uwekaji na utoaji fedha. Fedha zipo kwenye safe za watu wote.

Huwezi sema nimepewa bank statement kufikia tarahe tano saa tatu inaonyesha nina milioni ila kwenye akaunt kufikia tarehe tano saa tatu hakuna milioni. Inawezekana bank stament imemiss taarifa ya withdraw ya milioni sababu bank statement ni taarifa za kilichotokea kwenye miamala yako. Labda useme muamala upo ila sihusiki nao.

Tho Kuna scenario kama cheque imesoma ila bado clearance hiyo utaambiwa ni kweli pesa imesoma ila bado clearance. Ila katika mazingira haya uliyoyaelezea ts either bank statement aliyonayo imepishana tarehe na taarifa za akaunt au hujaeleza vzr ukaeleweka.
 
Elewa hoja yangu boss.
bank statement ni taarifa za akaunti, Taarifa zikitofautiana basi labda umepewa taarifa mbili zenye tarehe tofauti. Akaunt ina taarifa za kuingiza na kutoa pesa, pesa halisi zipo kwenye safe huko na ni za wote.
Hoja yako majibu yake yapo humo katika taarifa ya jamaa, ameshuhudia utofauti uliokuwepo kati ya hiyo statement na balance katika accounti husika.
 
Boss. Taarifa za kutoa na kuweka fedha za akaunt yako haziwezi kutofautiana unless umepewa taarifa za tarehe tofauti sababu bank statement ni taarifa za miamala na akaunt maana yake ni taarifa za uwekaji na utoaji fedha. Fedha zipo kwenye safe za watu wote.
Uongo huu.
 
Hoja yako majibu yake yapo humo katika taarifa ya jamaa, ameshuhudia utofauti uliokuwepo kati ya hiyo statement na balance katika accounti husika.
Ndo swali nikauliza. Bank statement ni taarifa katika karatasi au soft copy inayoonyesha miamala na akaunt ni taarifa za miamala. Sasa kapewa taarifa za tarehe tofauti au kaona muamala ambao hautambui?
 
Uongo huu.
Ukweli ni upi? Kuwa kwenye akaunt yako kuna sanduku la fedha zako 🙂 🙂
UKifungua akaunt hakuna box lolote au sehemu ambayo fedha zako zinatunzwa. Ni taarifa tu kuwa umeweka Tsh ngapi na umetoa Tsh ngapi. Fedha zinazunguka kwenye safe, jioni BOT, kwenye mikopo, drawings n.k
 
Ndo swali nikauliza. Bank statement ni taarifa katika karatasi au soft copy inayoonyesha miamala na akaunt ni taarifa za miamala. Sasa kapewa taarifa za tarehe tofauti au kaona muamala ambao hautambui?
Nikurekebishe, bank statement ni taarifa inayoonesha miamala ya akaunti husika na kiasi kilichopo (balance) kilichopo katika akaunti husika.
 
Nikurekebishe, bank statement ni taarifa inayoonesha miamala ya akaunti husika na kiasi kilichopo (balance) kilichopo katika akaunti husika.
Sawa. Ukishakuwa na miamala si balance inakuja automatically. Umeweka laki, umetoa elf hamsini automaticaly itabaki elf hamsini. Ila hiyo elf hamsini ni taarifa tu sio kuwa kuna box lako lipo inawekwa hapo kuwa kiasi kilichopo kitatofatiana na BS katika wakati linganifu.

Ndo maana nikauliza, hiyo BS yake inaonyesha taarifa tofauti kwanini?
Zimepishana tarehe kwamba kuna mhamala haujaonekana kwenye BS au kuna muhamala ambao hautambui?
 
benki yangu mini ni stanbic, CRDB kwa mbaaali, NBC na equity. NMB ninayo ila kwa pesa ya kupita, ikiwekwa tu huwa naenda kukwapua yote na kubakisha kama laki tu au hata chini ya hapo kulinda account.
Same here....

Shida equity ukiwa ndani ndani ngumu kupata huduma, nmb natumia kama gateway tu na siwezi tunza fedha kubwa humo zaidi ya miezi miwili ila huduma kubwa kubwa natumja equity.

Inaonekana banks za bongo matatizo au cyber attacks zinazotokea kwenye accounts za wateja wanaziachia loss zikawe covered na balance za wateja badala ya wao kuwa responsible, ndo unakuta matatizo kama haya wanayosena hapa. All in all kwa TZ naona bank ni NMB tu(personal opinion)
 
benki yangu mini ni stanbic, CRDB kwa mbaaali, NBC na equity. NMB ninayo ila kwa pesa ya kupita, ikiwekwa tu huwa naenda kukwapua yote na kubakisha kama laki tu au hata chini ya hapo kulinda account.
Unalinda account isiibiwe au[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunakaushamba flan hiv kapo et
 
Bank ni majizi kwa matukio yaliyonikuta
Nilikuwa naweka kila wakati kama 10m au zaidi kwa mzunguko ya biashara

Sasa mnajua mteja anakuja kahesabu hela zake, na mimi nahesabu ninapopokea
Baadae nazihesabu tena ili ziende Bank hapo tumeisha hesabu mara 4

Unafika bank unampa teller anahesabu kwenye machine halafu anasema kuna 10,000 hakuna

Hapo unasema labda kweli unatoa mfukoni unampa
Ilijirudia kwa wafanyakazi kama watatu
Siku hiyo tumehesabu wawili hela zote kufika eti ten hamna
Nilipiga kelele na kuwaita wote waizi
Waliona aibu sana mpaka GM akaja kuniomba yaishe
Ila hawakuchukuliwa hatuwa zozote naona wote lao moja

Siku nyingine mmoja wao eti ananipa 10,000 akasema imezidi nikamwambia Chambo hiyo eti [emoji1] [emoji1787]
Hii ya kusema imepungua 10000 wanatupiga kweli. Maana mtu unaenda umehesabu hela kabisa lakini wao wanasema ime shoti
 
Sasa mkuu unashauri tuweke wapi?

Au tununue viwanja kama saving
 
Hii ya kusema imepungua 10000 wanatupiga kweli. Maana mtu unaenda umehesabu hela kabisa lakini wao wanasema ime shoti
Waliponipiga mara ya Tatu nilikasirika sana
Ila walikoma maana niliwatukana sana na kuwaambia kwa siku mnaiba kumi kumi ngapi waizi nyie

Mwisho wake Manager akaja nae nikamchana hapo hapo akaniita ofisini na kusema kila ukija nitahakikisha nazihesabu mimi au nasimamia zoezi

Ila ni washenzi sana wanawaibia sana watu
Yaani nikiona mtu aliesoma najua ni wale wale tu majizi
 
Back
Top Bottom