KEFA HILLARY
Member
- May 7, 2021
- 90
- 123
Wizi Umerudi Kama Wakati Ule Account Inatolewa Tshs 100/=
Wakipiga Wateja Wote
Hii kitu hata mm nimepitia haswa wakati wa usiku unapata tu msg kwamba shilingi 200/= imetolewa kupitia main branch
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizi Umerudi Kama Wakati Ule Account Inatolewa Tshs 100/=
Wakipiga Wateja Wote
Halafu kuna watu wanawatetea humuKuna hela CRDB wanaiba kienyeji sana.
Kuna mtu aliweka 50k. Baada ya miezi miwili hakukuta kitu.
"Siku nyingine mmoja wao eti ananipa 10,000 akasema imezidi nikamwambia Chambo hiyo eti [emoji1] [emoji1787]"Bank ni majizi kwa matukio yaliyonikuta
Nilikuwa naweka kila wakati kama 10m au zaidi kwa mzunguko ya biashara
Sasa mnajua mteja anakuja kahesabu hela zake, na mimi nahesabu ninapopokea
Baadae nazihesabu tena ili ziende Bank hapo tumeisha hesabu mara 4
Unafika bank unampa teller anahesabu kwenye machine halafu anasema kuna 10,000 hakuna
Hapo unasema labda kweli unatoa mfukoni unampa
Ilijirudia kwa wafanyakazi kama watatu
Siku hiyo tumehesabu wawili hela zote kufika eti ten hamna
Nilipiga kelele na kuwaita wote waizi
Waliona aibu sana mpaka GM akaja kuniomba yaishe
Ila hawakuchukuliwa hatua zozote naona wote lao moja
Siku nyingine mmoja wao eti ananipa 10,000 akasema imezidi nikamwambia Chambo hiyo eti [emoji1] [emoji1787]
mkuu hili limenitokea mwezi December, kifungu cha ujenzi kilikua na mil 3, nikipiga mahesabu ya malipo yote niliyofanya balance inatakiwa iwe mil 3 Ila cha kushangaza Account ina laki 5 Tu, nikaomba statement nihakiki malipo hesabu ni hiyo hiyo inabaki mil 3. Wiki iliyopita nimechukua statement na kuhakiki hela iliyopo Ile mil 3 naiona nadhan mwez uliopita kulikua na shida flanBenk statement inatumika kama reference kuingia kwenye FFARS.
Unaandaa malipo kulingana na kilichomo katika benk statement. Unapitisha chek kwa mamlaka husika. Unapoenda benk kuchukua, wanaangalia wanakwambia hela iliyoko kwenye akaunti ni kidogo kuliko unachohitaji kuchukua.
Yametokea hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Benki statement na available balance vinapishana.mkuu hili limenitokea mwezi December, kifungu cha ujenzi kilikua na mil 3, nikipiga mahesabu ya malipo yote niliyofanya balance inatakiwa iwe mil 3 Ila cha kushangaza Account ina laki 5 Tu, nikaomba statement nihakiki malipo hesabu ni hiyo hiyo inabaki mil 3. Wiki iliyopita nimechukua statement na kuhakiki hela iliyopo Ile mil 3 naiona nadhan mwez uliopita kulikua na shida flan
Yaani ni majaribu plus plusKufanya kazi kunahitaji roho ngumu sana! Yaani una shida kama zote na daily unacheza mabulungutu ya hela
Kichwa Yako ngumu Mzee taarifa mbili tofauti kuhusu account Moja taarifa ya pesa ukitoa statement fupi inaoneshaa account Ina pesa kama ambavyo hesabu za wahusika zinasema ila ukija kwenye uhalisia account ya taasisi Haina pesa Hali ambayo taasisi imewekaHueleweki. Bank statement ni taarifa za akaunt katika karatasi au softcopy. Unavyoelezea ni as if akunti ni box fulani lenye pesa wakati ni taarifa tu. Embu eleza vzr hapo unaposema bank statement fedha zipo ila kwenye akaunt hazipo.
SIJUI, LABDA SYSTEM IWE NA HITILAFU ICHANGANYE TAARIFA ZA WATEJA TOFAUTI ILA KWA UELEWA WANGU:Kichwa Yako ngumu Mzee taarifa mbili tofauti kuhusu account Moja taarifa ya pesa ukitoa statement fupi inaoneshaa account Ina pesa kama ambavyo hesabu za wahusika zinasema ila ukija kwenye uhalisia account ya taasisi Haina pesa Hali ambayo taasisi imeweka
HOW? au ulipewa taarifa za akunti nyingine kwa taarifa za akaunt yako. Maana bank statement ni picha ya taarifa za miamala yako. Labda system iliingiwa na tatizo ikawa imemix taarifa za akaunt za wateja. TS VERY WEARD.Benki statement na available balance vinapishana.
Najiuliza wanafanyaje sipati jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hivi inawezekana kuprint taarifa halafu baada ya kuprint ikawa tofauti na source uliyoprint? Bank statement huwa inavuta taarifa kutoka wapi?Kichwa Yako ngumu Mzee taarifa mbili tofauti kuhusu account Moja taarifa ya pesa ukitoa statement fupi inaoneshaa account Ina pesa kama ambavyo hesabu za wahusika zinasema ila ukija kwenye uhalisia account ya taasisi Haina pesa Hali ambayo taasisi imeweka
Wacha. Huu wizi wa kipekee. Na bank statement ni ya muda sawa na ulipowauliza kiasi? Hahahaa Hii nchi ina tabu zake.Benki statement na available balance vinapishana.
Najiuliza wanafanyaje sipati jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa mkuu now nime download bank statement coz kunapesasijui zimepunguaje kwny accountNiliwahi kuandika juu ya wakala wa NMB aliyekuwa ana double transactions bila ridhaa ya mteja. Alipiga wateja wanne kama 20m hivi. NMB hawakuchukua hatua dhidi ya wakala huyo.
Leo ninaandika tena kusisitiza kuwa wenye hela benki kuweni makini na akaunti zenu. Hawa jamaa ni wapigaji.
Wanaweza kutoa hela kwenye akaunti yako bila wewe kujua.
Leo ninaongea kuna jamaa yangu kanipa kisa hiki.
Sasa mkuu milioni 2 na kuendelea huwa unaweka wapi?Duuh! Yani watu wana hela nyingi mpaka wanaweka kwenye akaunti..Haya ndio 'magepu' sasa... 😅