Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
Wanikumbusha kipindi icho Tigopesa ndio zimepamba moto š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana eti "....nilipiga kelele na kuwaita wote waizi"Bank ni majizi kwa matukio yaliyonikuta
Nilikuwa naweka kila wakati kama 10m au zaidi kwa mzunguko ya biashara
Sasa mnajua mteja anakuja kahesabu hela zake, na mimi nahesabu ninapopokea
Baadae nazihesabu tena ili ziende Bank hapo tumeisha hesabu mara 4
Unafika bank unampa teller anahesabu kwenye machine halafu anasema kuna 10,000 hakuna
Hapo unasema labda kweli unatoa mfukoni unampa
Ilijirudia kwa wafanyakazi kama watatu
Siku hiyo tumehesabu wawili hela zote kufika eti ten hamna
Nilipiga kelele na kuwaita wote waizi
Waliona aibu sana mpaka GM akaja kuniomba yaishe
Ila hawakuchukuliwa hatuwa zozote naona wote lao moja
Siku nyingine mmoja wao eti ananipa 10,000 akasema imezidi nikamwambia Chambo hiyo eti [emoji1] [emoji1787]
Hamna kitu kama hicho, nonsense!Sasa hujaelewa nini? Ameeleza utaratibu unavofanyika katika kufanya malipo, ni lazima kwanza kupata bank statement na ameeleza balance katika bank statement inaonesha pesa ipo ya kutosha tu.
Katika kukamilisha muamala ikashindikana, kwa maana salio halisi katika bank acc lilionekana kuwa kidogo/tofauti na lilioneshwa katika statement.
Rudia kusoma vizuri, taratibu utamuelewa.
Poor mindset nimeshuhudia Mtu kama wewe pale bank hela zinahesabiwa ikapungua 90k akakataa manager mwenyewe akazichukua akahesabu tena zikawa pungufu hiyo hiyo 90k,akakubali kwahiyo tunawajua wateja wa hivyo mpo na namna gani ya kudeal naoWaliponipiga mara ya Tatu nilikasirika sana
Ila walikoma maana niliwatukana sana na kuwaambia kwa siku mnaiba kumi kumi ngapi waizi nyie
Mwisho wake Manager akaja nae nikamchana hapo hapo akaniita ofisini na kusema kila ukija nitahakikisha nazihesabu mimi au nasimamia zoezi
Ila ni washenzi sana wanawaibia sana watu
Yaani nikiona mtu aliesoma najua ni wale wale tu majizi
Hapana cyber attacks za bongo sio kubwa na zinazuilika even ikitokea bank inaka cover loss endapo Mteja haja initiate transactionSame here....
Shida equity ukiwa ndani ndani ngumu kupata huduma, nmb natumia kama gateway tu na siwezi tunza fedha kubwa humo zaidi ya miezi miwili ila huduma kubwa kubwa natumja equity.
Inaonekana banks za bongo matatizo au cyber attacks zinazotokea kwenye accounts za wateja wanaziachia loss zikawe covered na balance za wateja badala ya wao kuwa responsible, ndo unakuta matatizo kama haya wanayosena hapa. All in all kwa TZ naona bank ni NMB tu(personal opinion)
Stanbic ni International bank ipo kwenye nchi mbalimbali.Stanbic ni bank ya nje?
Hiyo balance katika account husika ameangalia wapi?Hoja yako majibu yake yapo humo katika taarifa ya jamaa, ameshuhudia utofauti uliokuwepo kati ya hiyo statement na balance katika accounti husika.
Bado hujamjibu swali lakeNikurekebishe, bank statement ni taarifa inayoonesha miamala ya akaunti husika na kiasi kilichopo (balance) kilichopo katika akaunti husika.
nina sababu zangu binafsi, account ni ya kwangu, pesa za kwangu, ushamba unatoka wapi sasa?Unalinda account isiibiwe au[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunakaushamba flan hiv kapo et
Madai ya kimasikini sanaNiliwahi kuandika juu ya wakala wa NMB aliyekuwa ana double transactions bila ridhaa ya mteja. Alipiga wateja wanne kama 20m hivi. NMB hawakuchukua hatua dhidi ya wakala huyo.
Leo ninaandika tena kusisitiza kuwa wenye hela benki kuweni makini na akaunti zenu. Hawa jamaa ni wapigaji.
Wanaweza kutoa hela kwenye akaunti yako bila wewe kujua.
Leo ninaongea kuna jamaa yangu kanipa kisa hiki.
Hasira [emoji1] unajua na ukiwa mzee utanielewaNimecheka sana eti "....nilipiga kelele na kuwaita wote waizi"
Siwezi kuandika uongo kama unavyojitetea hapa, wala siwezi kuandika kama ulivyoandika wewe na kunishutumu kuwa ni muongoPoor mindset nimeshuhudia Mtu kama wewe pale bank hela zinahesabiwa ikapungua 90k akakataa manager mwenyewe akazichukua akahesabu tena zikawa pungufu hiyo hiyo 90k,akakubali kwahiyo tunawajua wateja wa hivyo mpo na namna gani ya kudeal nao
Hapa tunapeana tahadhari. Hatua stahiki zilikwisha chukuliwa.Huu uzi unaashiria watu wengi wana elimu duni na hawajui haki zao. Kama mtu umeibiwa taratibu za kufuata si ziko wazi? Kulalamika tu hapa kwamba benki ni wezi naona ni upumbavu, umbea na unafiki. NMB nimeitumia muda mrefu sana na kama kuna tatizo huwa nawaona wahusika tunamalizana. Vijana hizo smartphone zenu mzitumie kujiongezea maarifa.
CRDB Tabata Magengeni kuna Teller mmoja ukienda kutoa hela nyingi (kuanzia 2m) lazima akupige sh 10,000. Halafu anapokuhudumia anakuwa very talkative.Bank ni majizi kwa matukio yaliyonikuta
Nilikuwa naweka kila wakati kama 10m au zaidi kwa mzunguko ya biashara
Sasa mnajua mteja anakuja kahesabu hela zake, na mimi nahesabu ninapopokea
Baadae nazihesabu tena ili ziende Bank hapo tumeisha hesabu mara 4
Unafika bank unampa teller anahesabu kwenye machine halafu anasema kuna 10,000 hakuna
Hapo unasema labda kweli unatoa mfukoni unampa
Ilijirudia kwa wafanyakazi kama watatu
Siku hiyo tumehesabu wawili hela zote kufika eti ten hamna
Nilipiga kelele na kuwaita wote waizi
Waliona aibu sana mpaka GM akaja kuniomba yaishe
Ila hawakuchukuliwa hatuwa zozote naona wote lao moja
Siku nyingine mmoja wao eti ananipa 10,000 akasema imezidi nikamwambia Chambo hiyo eti [emoji1] [emoji1787]
Mwambie huyu anaewatetea au ndie huyo anaepiga ten tenCRDB Segerea Magengeni kuna Teller mmoja ukienda kutoa hela nyingi (kuanzia 2m) lazima akupige sh 10,000. Halafu anapokuhudumia anakuwa very talkative.
Hiyo ni kweli imenikumba mimi mwenyewe mara 2 pale CRDB Tabata Magengeni (samahani sio CRDB Segerea Magengeni)Mwambie huyu anaewatetea au ndie huyo anaepiga ten ten
Halafu kuna watu badala ya kukemea wanakandia na kutetea
Kuna mtu kakariri kesi moja tu humu
Wanatetea na kusema eti ufungue kesiHapa tunapeana tahadhari. Hatua stahiki zilikwisha chukuliwa.
Hata mimi mwanzoni nilidhani benki ni smart 100%, kumbe kuna madudu ya kutosha. Ukiyapata ndo utajua.
Sent using Jamii Forums mobile app