Kwahiyo ndiyo serikali ifanye wanavyotaka wao! Si wagome tu.Usiongee kama umekatwa kichwa nikupe mfano mdogo. Wilaya ya Ubungo ina Zahanati,Vituo vya afya na hospital 261 hiyo ilikua mwaka 2023 kati ya hizo hospital,vituo vya afya na zahanati za serikali hazizidi 35 sasa jiulize wakiamua kufunga watu watatibiwa wapi. Kama ungewahi kuhudhuria mikutano ya Aphtar hata mmoja ungeelewa umuhimu wa sekta binafsi kwenye afya nchi hii vingenevyo watu wangekufa kama kuku
Yap..Kwa kweli tuombe Mungu atusaidie hawa Private hospitals na NHIF wafikie muafaka
Wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF wanataabika sana
Mungu wa Mbinguni utusaidie!
Kila hospitali inaingia mkataba kivyake ila zote zinakuwa chini ya Umoja wao..Hao wanaokataa na wafanye kama hao wahindi sijui kelele za nini kwanza kila hospital inaingia mkataba kivyake na NHIF kwahiyo anayetaka kufanya kazi na NHIF afanye anayekataa akatae.
Hapana ila serikali hii katili haijali kuhusu maisha ya watu. Mkuu kuendesha hospital ,zahanati au kituo cha afya si lelemama ni gaharama kubwa naweza sema biashara ya afya ina kodi nyingi na running cost kubwa..Kwahiyo ndiyo serikali ifanye wanavyotaka wao! Si wagome tu.
Kumbuka hao wanachama wanakatwa hela zao.Wizara ya afya inafanya kazi kubwa sana kusaidia Wanachama wa Mfuko wa Bima ya afya unakua na manufaa kwao bila kuasiri uhai wa Mfuko. Maboredho hayo yameongeza huduma nyingi Muhimu na dawa ambazo hazikuepo awali.
Ni hatari tupu na kuna ammendment kwenye packagesKwamba hawalipi madeni ya watu??👀
Unyanyasaji gani unaozungumzia wewe! NHIF wao wanalipa kulingana na bei ya soko lakini nyie kina bwana tamaa na msio na utu mnataka malipo mara dufu.Kila hospitali inaingia mkataba kivyake ila zote zinakuwa chini ya Umoja wao..
Na hivyo hivyo hata kila daktari anasoma kivyake na anafaulu kivyake ila wote wanakuwa Chini ya Baraza la madaktari nchini na ndo wanaotoa leseni..
Sasa mantiki yako sijaielewa tangu mwanzo..
Nini hasa Hoja yako?
Kwamba watu waendelee kuface unyanyasaji wanaofanyiwa?
Kwamba wenyewe wapate hasara kwa kuifaidisha serikali?
Kwa mujibu wa Takwimu zangu za Haraka Hospitali 80% ni za Private na Serkali ina 20% tu ya Hospitali zote..
Sasa sijajua kwako wewe unatetea nini Hasa kwamba Wakubali unyanyasaji kwa manufaa ya nani hasa?
Nipo tayari kuweka mjadala na wewe wa wazi kama uko tayari kutumia takwimu na facts
Umekufuruu!!!!!!!!!!Hao wanaokataa na wafanye kama hao wahindi sijui kelele za nini kwanza kila hospital inaingia mkataba kivyake na NHIF kwahiyo anayetaka kufanya kazi na NHIF afanye anayekataa akatae.
Serikali sikivu itapenda kufanya wanavyotaka wao ili mradi hiyo ni Kwa maslahi ya umma.Kwahiyo ndiyo serikali ifanye wanavyotaka wao! Si wagome tu.
Umenifurahisha hapo,Kwamba kila kitengo kinatakiwa kuwa na mtaalam husika, ila wao Wana upungufu. Ole wako private hospital ikose hata mtaalam mmoja, inakuwa balaa.Hapana ila serikali hii katili haijali kuhusu maisha ya watu. Mkuu kuendesha hospital ,zahanati au kituo cha afya si lelemama ni gaharama kubwa naweza sema biashara ya afya ina kodi nyingi na running cost kubwa..
1.TRA
2.Kibali cha wizara kwa mwaka
3.Kibali cha maabara kwa mwaka
4.Osha
5.Fire
6.Kodi ya manispaa ya leseni.
7.Kodi ya jengo ya TRA
8.Kodi ya mwenye nyumba kama umepanga.
9.Tozo mbali mbali za mtaa/ Kata au halmashauri
10.Mishahara ya wafanyakazi tena hapa wanataka kila kada uwe na watu angalau wa tatu wakati wao hospital zao unaweza kuta hata mtoa dawa hamna au zahanat haina daktari na safi tu.
Hapo bado hujanunua vifaa tiba na dawa.
Umejibu vizuri sana na ningependa tuendelee na mjadala.Mpumbavu katika ubora wako..hata uelewi shida ipo wap!!unatapika tuu maharage Yako...
Yaani mkuu tena wanakua wakali kishenzi [emoji16][emoji16][emoji16],imagine kizahanati wanataka uwe na CO watatu wakati wao mmoja tu[emoji706]Umenifurahisha hapo,Kwamba kila kitengo kinatakiwa kuwa na mtaalam husika, ila wao Wana upungufu. Ole wako private hospital ikose hata mtaalam mmoja, inakuwa balaa.
Ndiyo maana ni nadra sana Mfanyabishara kuamua kuwa na Hospitali.
Lakini kugoma kuwapa huduma wachangiaji sio utu.Sehemu kubwa ya watoa maamuzi serikalini hawaathiriki na mgomo wenu. Rudisheni kwa wachangiaji halafu mtoe muda wa serikali kukaa na kuzungumza.Anayeumia ni bi shomvi ambaye yupo kule kjjn na mtoto wake ni mwalimu s/m matopeniMkuu Thibitisha ulichokisema hapo juu!
Bei zote za Dawa hakuna hata moja iliyopanda toka mwaka 2013 huku..bei za dawa Madukani zikiwa juu ila wao wamestick kwemye bei ile ipe ya zamani..
Mazingira kwa watoa huduma Hayajaboreshwa still bado ni Sera ile ile ya mwaka 2013..
Ina maana hakuna vitu vilivyobadilika kwa takribani miaka 10, jibu ni hapana..
Sasa shida ni nini ni kutaka kukomoa watu..
NImezungumzia Amoxyline kama sample tu..
So unamaanisha upatikanaji wa Dawa nchini umeongezeka?
Nahisi haupo.kwenye Kada ya Afya na ndio.maana unapata Hata uwezo wa kuandika ulichoandika ..
Niambie Bima ya Afya (NHIF) Imewahi kumkopesha mtoa huduma Gani kati ya mwaka 2015 mpaka leo?
Tusiingize siasa kwenye mambo ya Kitaifa mambo ya afya ambayo watakaoemda kuumia ni Wananchi na wachangiaji wa Bima wala.sio Sisi wamiliki au hao BIma wenyewe..
Upo sahihi mkuu Agakhan hawapokei NHIF nikasema sirudii tena kukata hiyo bimaKuna taasisi walishaonaga hawa NHIF ni wapuuzi, rafiki yangu mke wake ni banker insurance yao wanatumia hiyo Strategies, sasa hivi ni mgonjwa kalazwa Agha khan huduma za viwango vya London.
Hilo liNHIF Agha Khan alipokelewi, labda kwenye vile viextention vya Agha khan polyclinic.
Hapana Agakhan hawapokei NHIF ninayo timiza nililipia 1m point something nilienda kwa ajili ya meno walinikatalia hawapokei nikaenda Hindu MandalStrategies ni bonge la bima. Halafu nhif nao wana bima tofauti. Wanayo bima ya viwango hiyo unatibiwa hata aghakhan ila kina najali sijui wezesha hizo zinakua na limits kuna magonjwa hutibiwi.