DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Siwahelewi kabisa NHIF bima za wanangu wametumiatoka wakiwa wachanga picha ila mwezi sasa wanazifungia eti nilete picha mpya na nilipie 20000 cash kwa kila kichwa nimechoka kweli kwanini wasikate kwa salary na sisi ni watumishi
Ww utakuwa Mwalimu [emoji23]

Sasa picha za vichanga now watu wazima ukiambiwa ubadirishe unalalamika nn?, Kwan nn maana ya kuweka picha kwenye KITAMBULISHO??

Wakati unaajiriwa kadi si unapewa bure?

[emoji1745][emoji1745]
 
hata hivyo bado hospital za private nyingi nu matapeli tuuh....... haiwezekani tunaenda dirisha la dawa unaambiwa usaini lakini dawa anakuambia hamna kanunue hii ni haki kweli ?
 
Kila sehemu ni problems tu dah
 
Najiandaa kwenda hindumandal kunbe sitapokelewa? Wap naweza kupokelew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…