Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Atuache na namba zetu 3 nne sio mbayaKabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atuache na namba zetu 3 nne sio mbayaKabisa!
Wengi wanafikiri kila sehemu ya nchi hii network coverage zinafanana.Huwa kwenye mishemishe zako unaendaga mikoani? Hivi unajua Kuna maeneo hapa hapa nchini Voda haikamati mpaka uwe na Halotel?
Kila mja anakula kulingana na urefu wa.kamba yake.1gb ndo full data? Kuna watu wana line 1 ila ina zaidi ya 30gb na dk600 za mitandao yote.
Chanzo huwa ni kupata huduma nafuu ndg, japo mikoani pia kuna sehemu mitandao fulani fulani haisomi.Binafsi nakerwa sana na watu wenye "line" lukuki za simu. Unakuta mtu ana line ya voda, tigo, airtel, zantel nk. Zote izo za kazi gani?? Matokeo yake kila ukimtafuta mtu utasikia mara..
"Nicheki kwenye airtel hiyo Voda haina chaji.."
"Nipigie namba ya tiGo, airtel nimeacha nyumbani"
"Hela umetuma mpesa? Aaargh hiyo line siko nayo sasa mpaka nirudi home.."
"Namba iliopo WhatsApp ni ile ya Zantel.."
" Unasemaje sijakupigia, kwani hukuona namba ya tiGO imeku miss call..?"
"Mimi si ndio nilikupigia kwa namba ya TTCL, mbona hujapokea.....?"
Jamani..! Mimi nnaposave namba yako, nasevu kwa JINA sio kwa mtandao uliopo. So ata sijui namba ya zantel inafananaje?
Ukiniambia nikucheki airtel yaani unanipa kazi ya ziada kuanza kutafuta namba za airtel hua zikoje ndio nijue ni ipi?
Mi nachoka sana..
Tafuta pesa mkuu.Binafsi nakerwa sana na watu wenye "line" lukuki za simu. Unakuta mtu ana line ya voda, tigo, airtel, zantel nk. Zote izo za kazi gani?? Matokeo yake kila ukimtafuta mtu utasikia mara..
"Nicheki kwenye airtel hiyo Voda haina chaji.."
"Nipigie namba ya tiGo, airtel nimeacha nyumbani"
"Hela umetuma mpesa? Aaargh hiyo line siko nayo sasa mpaka nirudi home.."
"Namba iliopo WhatsApp ni ile ya Zantel.."
" Unasemaje sijakupigia, kwani hukuona namba ya tiGO imeku miss call..?"
"Mimi si ndio nilikupigia kwa namba ya TTCL, mbona hujapokea.....?"
Jamani..! Mimi nnaposave namba yako, nasevu kwa JINA sio kwa mtandao uliopo. So ata sijui namba ya zantel inafananaje?
Ukiniambia nikucheki airtel yaani unanipa kazi ya ziada kuanza kutafuta namba za airtel hua zikoje ndio nijue ni ipi?
Mi nachoka sana..
Uko sahihi kabisa mkuu tunatafuta unafuu, kama Mimi nina laini nne yenye uhakika wa kukaa kwenye simu ni Tigo nyingine zinategemea upepo wa bando.Ni umasikini tu jamani, tunatafuta unafuu. Mtuvumilie tu.
Bando ndio mchawi.Uko sahihi kabisa mkuu tunatafuta unafuu, kama Mimi nina laini nne yenye uhakika wa kukaa kwenye simu ni Tigo nyingine zinategemea upepo wa bando.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Umeandika excuse za kitoto sanaChanzo huwa ni kupata huduma nafuu ndg, japo mikoani pia kuna sehemu mitandao fulani fulani haisomi.
Binafsi nina line 3, mbili voda na 1 halotel japo pia nliwahi kutumia tigo na airtel miaka ya nyuma.
Ebu fikiria mwaka 2015/2016 halotel walikuwa wanatoa extreme sh. elfu 1 unatumia data saa 24 bila kikomo, ungeacha kumiliki line yao?
Usichokijua ni kuwa hata hizi ofa za voda kuna wakati hutolewa kwa code yaani mwenye 0766... na 0764... wanakuwa na ofa tofauti, ko niteseke makusudi?
Nini cha kufanya?
Siku zote mtu mwenye line nyingi huwa kuna moja au mbili ambazo ni utambulisho wake, kwa vyovyote hazikosekani hewani, ndo uzisev hizo.
Pili, simu za kisasa unaweza kusev namba nyingi sehemu moja na kwa jina moja so changamoto yako inakuwa imetatuliwa.
Mwisho, tuvumiliane na tusilazimishe kufanana maana pia tuna vipato na hobbies tofauti.
Haswaaa.. yaani kuna namba za ajabu siku izi ikikupjgia unashindwa kuelewa hii ni namba ya nchi hii au ni ya msumbiji 😀tatizo sasa hivi namba mpya wanazotoa tigo airtel na voda, hata huwezi jua ni mtandao gani.
sijui kwa nini wanashindwa ku maintain namba tatu za mwanzo.