Wenye Mabaa sehemu mbalimbali hii Kero ina maana imewashinda au mnataka sasa Wateja wenu tutembeze Kichapo kwa hawa Watu ndiyo muelewe tumechoka nao?

Wenye Mabaa sehemu mbalimbali hii Kero ina maana imewashinda au mnataka sasa Wateja wenu tutembeze Kichapo kwa hawa Watu ndiyo muelewe tumechoka nao?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Inakera sana yaani wengine tukienda huko katika Mabaa ( tena na Mademu ) ambao tunataka Kuwatongozea huko huwa tunakuwa tayari tumeshakariri Mistari / Maneno yote kiasi kwamba tukiwa hayo maeneo huwa hatutaki disturbance na distraction yoyote kwani itafanya twende Off Point na tuliyoyakariri ili Mtu akubali na baadae 'achojoe' mwenyewe na 'awekwe' nao Wote.

Upo zako Baa na Mtoto wa Watu ( Mwanamke Mrembo ) unamwaga Sera zako ulizozikariri halafu unawaona hawa Wafanyabishara Wamachinga wanakuja wakiwa Kundi na kuja kuweka Kambi katika Meza uliyokaa ( tena hata hukuwaita ) na kila Mtu kwa wakati Mmoja anakuonyesha Bidhaa yake anayouza. Na hata ama ukiwambia Asante ili waondoke au ukiwakazia Macho ya Hasira / Makali kwa huo Usumbufu wao hawaondoki.

Huwa najiuliza sana ni kwamba hawa huwa Wanatumwa au Wanafanya Kusudi tu au hutaka tu Kutafuta ubaya nasi?
 
Inakera sana yaani wengine tukienda huko katika Mabaa ( tena na Mademu ) ambao tunataka Kuwatongozea huko huwa tunakuwa tayari tumeshakariri Mistari / Maneno yote kiasi kwamba tukiwa hayo maeneo huwa hatutaki disturbance na distraction yoyote kwani itafanya twende Off Point na tuliyoyakariri ili Mtu akubali na baadae 'achojoe' mwenyewe na 'awekwe' nao Wote.

Upo zako Baa na Mtoto wa Watu ( Mwanamke Mrembo ) unamwaga Sera zako ulizozikariri halafu unawaona hawa Wafanyabishara Wamachinga wanakuja wakiwa Kundi na kuja kuweka Kambi katika Meza uliyokaa ( tena hata hukuwaita ) na kila Mtu kwa wakati Mmoja anakuonyesha Bidhaa yake anayouza. Na hata ama ukiwambia Asante ili waondoke au ukiwakazia Macho ya Hasira / Makali kwa huo Usumbufu wao hawaondoki.

Huwa najiuliza sana ni kwamba hawa huwa Wanatumwa au Wanafanya Kusudi tu au hutaka tu Kutafuta ubaya nasi?
Acha hiyo ,mbaya zaidi kama wanauza vitu vya urembo wanakazana kumpatia demu unayeimbisha achukue huku wanakoleza mchukulie Shem aisee inamfaa sana hii,demu naye anakukata jicho unajikuta unaanza kugharamia vitu kabla ya kupewa mzigo...
 
Acha hiyo ,mbaya zaidi kama wanauza vitu vya urembo wanakazana kumpatia demu unayeimbisha achukue huku wanakoleza mchukulie Shem aisee inamfaa sana hii,demu naye anakukata jicho unajikuta unaanza kugharamia vitu kabla ya kupewa mzigo...
Mkuu natamani uone jinsi ulivyonichekesha na kunifanya nivunje mno mbavu kwa hii post yako. Jamaa wanakera sana.
 
Ujakaa sawa, unapimwa UTU wako na uwezo wako wa kuhudumia na huruma uliyonayo juu ya viumbe wa mnyazi Mungu...kibaiskeli cha miguu mitatu, mlemavu huyu hapa anaomba msaada!
 
Acha hiyo ,mbaya zaidi kama wanauza vitu vya urembo wanakazana kumpatia demu unayeimbisha achukue huku wanakoleza mchukulie Shem aisee inamfaa sana hii,demu naye anakukata jicho unajikuta unaanza kugharamia vitu kabla ya kupewa mzigo...
Ishawahi nikuta huyo scenario. Nilichukia balaa
 
Ujakaa sawa, unapimwa UTU wako na uwezo wako wa kuhudumia na huruma uliyonayo juu ya viumbe wa mnyazi Mungu...kibaiskeli cha miguu mitatu, mlemavu huyu hapa anaomba msaada!
Na wanakukazia kisa wameona bia mbili mezani ... kila jamb na pahala pake
 
Hakuna tofauti na ads mtandaoni, na mahali pazuri pa kuthibisha hili ni pale mlimani city kama unaenda survey/makongo juu. Upande wa hizi bar ukikaa kidogo tu unakuta wafanyabiashara, mara walemavu mara wanaoomba michango ya kanisa ila ukiingia mlimani city hakuna hayo mambo. Huwa nafananisha sana na premium vs ad-supported subscription.
 
Acha hiyo ,mbaya zaidi kama wanauza vitu vya urembo wanakazana kumpatia demu unayeimbisha achukue huku wanakoleza mchukulie Shem aisee inamfaa sana hii,demu naye anakukata jicho unajikuta unaanza kugharamia vitu kabla ya kupewa mzigo...
Dawa ya hawa ni kabla hata ajakalibia meza yako mwambie asante.

Pili na kwa umuhimu mtoa mada apunguze umalaya
 
ili Mtu akubali na baadae 'achojoe' mwenyewe na 'awekwe' nao Wote.
20240723_170135.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Back
Top Bottom