Haya yanayozungumzwa juu ya ukosefu wa haki yanatia doa na dosari nchi yetu.
Jeshi la polisi limekuwa ni mtuhimiwa namba moja kwa ajili ya uonevu.
Ipo mifano hai huko barabarani jinsi rushwa ilivyotamalaki. Lakini pia kuna vituo km Oysterbay na Central DSM, kule wamejaza mali za watu kama magari na pikipiki ambao wamiliki hawana Kesi isipokuwa wanazungushwa ili rushwa itoke.
Ni wakati sasa tubadilike.
Jeshi la polisi limekuwa ni mtuhimiwa namba moja kwa ajili ya uonevu.
Ipo mifano hai huko barabarani jinsi rushwa ilivyotamalaki. Lakini pia kuna vituo km Oysterbay na Central DSM, kule wamejaza mali za watu kama magari na pikipiki ambao wamiliki hawana Kesi isipokuwa wanazungushwa ili rushwa itoke.
Ni wakati sasa tubadilike.