Nimekumis mpenzi[emoji7]Umepotelea wapi wewe
We si umeamua kunichuniaNimekumis mpenzi[emoji7]
Naona vijana mnapeana michapo ya maisha yenu. Ila sijaona linalofua dafu kwangu. Mimi niliwahi kupigwa na mdingi hadi nikafa live! Hiyo ilikuwa kabla ya uhuru wa Tanganyika.Ila kwa sasa mimi ndiyo naitwa DINGI.
Mkuu nini maana ya Tawire?mzee wangu ukimtibua aisee anakua mkali kinoma
kwanza sitosahau tuko madogo tulikua na tabia ya kuzurura kitumbo waz bila ndala aisee halafu mzee alikua na cheo tu dah alikua anamind tunamzalilisha
siku hio akatuona live na mdogo wangu kama kawaida kitumbo wazi kufika home tunashangaa milango inafungwa tukajua leo kiama chetu kimefika akajikagua akaona hajavaa mkanda akaona hakijaharibika kitu aisee alituchapa ngumi na mikanda na mdogo wangu tangia siku hio mm ni tawiree tu
dah huyo ni baba simba,vipi mngempa mimba binti wa shehe akaja kushitaki kwenu?Mzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.
Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.
Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.
Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
kujiandaa na jela ya kibakoKweli lazima tako liwe gumu hadi ukiiba mke wa mtu wakitaka kuku-bashite waghairi wakuchape makofi tu wakuache.
sawaMkuu nini maana ya Tawire?
matako yalikuwa yalionekana mkuu.Mshua alinichapaga viboko mbele ya demu wangu alikuja kusuka.
Dingi amekuja mchana kula chakula akakuta hakuna maji hata ya kunawa mikono, kubabake alinichapa sticki hizo.
Demu wangu alikua nje anasukwa na dada yangu, dingi ananichapia sebuleni.
Kwa kuwa nilikua sitaki demu wangu ajue kama nachapwa, nikawa najikaza sipigi kelele.
Dingi akajua viboko havini umizi, akaanza kunipiga na mavibao, kubabake nilivimbaga mikononi.
Mara Paaaap nikatoka na mindoo kwenda kuchota maji, mialama ya viboko kwenye matako, mgongoni, mikononi.
2001 hiyo Kiloleni Tabora
mkuu mimi wa kupaka kiwi nampa tanoMpaka sasahivi mshua wa FRESHMAN anaongoza kwa ukali kusini mwa jangwa la sahara . Ukitikisa kichwa kwenye gari anakushusha?
ndivyo kibaka anayotakiwa kushughulikiwa mkuu.Siku nimeiba chupa ya bia (Safari Lager) ya mshua nikauza nikaenda video...nilivorudi usiku nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie...nilipata cosovo almanusura kulazwa....nikikumbuka huwa namwona dingi mkatili kinoma....
huyo nadhani alihisi amesingiziwa ninyi akawa analipizahao wazee wote mnaiwataja hapa hamna kitu asee nakumbuka mwaka 84 ilikua jumamosi mzee akatuagiza majani ya kuku tulikua na kuku wengi sana yeye akaenda kazini ..tulivyoenda tulikaa mpaka saa nane au tisa hivi ndo tukarudi na mizigo yetu ya majani ya kuku watu wa arusha wanayafahamu majani ya sungura..bwana kumbe mzee alikua amesharudi na ameenda kutafuta chakula cha kuku mwenyewe....kwakuanzia tuliambiwa kila mtu ale mzigo wake coz tuna njaa na kuku wameshakula hamna pa kuyapeleka...kwa jinsi alivyokua tukaanza kupiga mdogo mdogo tulikua watatu...kaka yangu akaleta ukorofi mzee alimtia kwenye gunia la kuhifadhia kahawa akalifunga kwa juu asee alimtia fimbo zisizo na idadi ..akamtoa kwenye gunia akamtia fimbo kavu kavu mpaka vijiti vikamwingia kama miba then akamfingia kwenye mti wa mlimao kwa minyororo kwa siku 3 day and 9t tulikua tunampelekea msosi kwa siri usiku na alivyotoka hapo ni kumuuguza na kumtoa vijiti mwilini......
pia nakumbua dada yetu mkubwa aliwahi kumpiga mdogo wake mama akamsemea mzee alimpiga then akampeleka kwe ng'ombe zizini akamwambia akae huko siku saba kwasababu anatabia za ng'ombe...kuna matukio mengi sana mfano akikupangia kazi usipifanya mfano ya shamba akirudi hata kama ni saa nne usiku utaenda kulima ...alikua anaogopwa mpaka na mabosi wake
Yaani mimi natamani hata leo nikutane na mzazi anafanya ujinga wa namna hii kwa mtoto, halafu watu watashangaa nitakavyonunua kesi hiyo, huyo mzazi atachoka na hatarudia tena. Upumbavu wa hali ya juu sana huuMkuu kuna ule ukali wa kawaida tu ambao ata kwny dini unaelezewa ,huu unaoelezewa apa na wadau kwa kiasi kikubwa ni ukatili huwezi mpiga mtoto mpaka anazimia afu unasema ni fundisho.
Utafanyaje labda?Yaani mimi natamani hata leo nikutane na mzazi anafanya ujinga wa namna hii kwa mtoto, halafu watu watashangaa nitakavyonunua kesi hiyo, huyo mzazi atachoka na hatarudia tena. Upumbavu wa hali ya juu sana huu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.
Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.
Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.
Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
asee unabahati sana kwa jinsi ulivyokua kiazi kwetu labda ungehama hahahahhahaha kuna watoto wa mwalimu hapa walikunywa grand malta ya mama yao wakatia maji nimewafananisha na wewe ulivyowasha sigara pa kuvutia ....hivi ulikua unawaza nininimecheka sana ila marehem dingi yetu alikua mkali wa maneno yeye hajui kupiga ila ukimkera anakunyima vitu muhim nakumbuka kitambo wakat tupo songea akaniletea american but ile timberland nikalivaa kama wiki akawa hayupo sasa hapo karibu nahom kulikua nafundi rangi nikaenda kunaboya akanipa kichwa nikapaka rangi ya get kimoja blue kingine black mze alipokuja akaniuliza unajua bei yake nikamwambia hapana akanambia utavaa katambuga kama masai hadi akili ikukae sawa sema dingi akavificha chumban kwao
sasa alikua anavutaga sms akanituma sigara nikawasha pakuvutia pale ndio nilizipata hasira zake nilikula konzi ila viatu akapeleka kwa fundi rang ikatolewa tukawa marafiki mpk mungu alipo mpenda RIP DADY