Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Mkuu nini maana ya Tawire?
 
dah huyo ni baba simba,vipi mngempa mimba binti wa shehe akaja kushitaki kwenu?
 
matako yalikuwa yalionekana mkuu.
 
Siku nimeiba chupa ya bia (Safari Lager) ya mshua nikauza nikaenda video...nilivorudi usiku nilitamani ardhi ipasuke nitumbukie...nilipata cosovo almanusura kulazwa....nikikumbuka huwa namwona dingi mkatili kinoma....
ndivyo kibaka anayotakiwa kushughulikiwa mkuu.
 
huyo nadhani alihisi amesingiziwa ninyi akawa analipiza
 
Mkuu mimi nilikwapua sadaka pale kanisani chang'ombe machinjioni nikanaswa na msimamizi taarifa zikatua home.Niliposanuka nikakimbilia kwa mjumbe wa kujinusuru na dhahma ya kipigo lakini mjumbe akanibeba mzobe mzobe mpaka home kwa dingi.nilitembezewa kipigo cha nguvu tangia siku hiyo udokozi nilikoma wala kukwapua sikurudia tena..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu kuna ule ukali wa kawaida tu ambao ata kwny dini unaelezewa ,huu unaoelezewa apa na wadau kwa kiasi kikubwa ni ukatili huwezi mpiga mtoto mpaka anazimia afu unasema ni fundisho.
Yaani mimi natamani hata leo nikutane na mzazi anafanya ujinga wa namna hii kwa mtoto, halafu watu watashangaa nitakavyonunua kesi hiyo, huyo mzazi atachoka na hatarudia tena. Upumbavu wa hali ya juu sana huu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nimecheka sana ila marehem dingi yetu alikua mkali wa maneno yeye hajui kupiga ila ukimkera anakunyima vitu muhim nakumbuka kitambo wakat tupo songea akaniletea american but ile timberland nikalivaa kama wiki akawa hayupo sasa hapo karibu nahom kulikua nafundi rangi nikaenda kunaboya akanipa kichwa nikapaka rangi ya get kimoja blue kingine black mze alipokuja akaniuliza unajua bei yake nikamwambia hapana akanambia utavaa katambuga kama masai hadi akili ikukae sawa sema dingi akavificha chumban kwao
sasa alikua anavutaga sms akanituma sigara nikawasha pakuvutia pale ndio nilizipata hasira zake nilikula konzi ila viatu akapeleka kwa fundi rang ikatolewa tukawa marafiki mpk mungu alipo mpenda RIP DADY
 
asee unabahati sana kwa jinsi ulivyokua kiazi kwetu labda ungehama hahahahhahaha kuna watoto wa mwalimu hapa walikunywa grand malta ya mama yao wakatia maji nimewafananisha na wewe ulivyowasha sigara pa kuvutia ....hivi ulikua unawaza nini

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…