Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ndio walikua na wanaitana na kujibizana hivo, kina chepe, golden boy mapung'o, njomba nchumaliHahahahhahahah! kitambo sana hiyo mambo
Shikamoo mzee mwenzanguLeo ni miaka 57 imepita dingi kafariki kaniacha Nina miaka saba tu sasa shuruba na mateso niliyoyapata kwa walezi wangu siwezi kusimulia huwa nalia nikikumbuka binadamu wabaya sana ni wazuri tukiwa tumelala kwenye makaburi tu
Aisee pole mamaApart from other things, my father is a main reason why i hate Men.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli wewe dishi liliyumba unamkimbiza mzee mitaa yenye watu wengi ili akupotezee...mimi wa kwangu anarudi kukusubiria nyumbani dadeki unapata kipigo mara kumi.Mi mshua wangu hakua mkatili kiivyo sema ile akikukamata bora ukimbie tu pia anaweza kukuungia sasa mwanae mim dish liliyumba kitambo nikawa namkimbiza mitaa yenye watu wengi kwa heshima aliyokua nayo basi alikua anavunga tu Mimi kichapo nmechezea kutoka kwa mama daaah ilifika stage najiuliza huyu n mama angu kweli daaah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mim mzee hakua mkali kabisa mbaya zaid nikimbia usiku alikua anaanza kunitafuta yeye mwenyewe tena anakua mpole tu... mim bi mkubwa tu ndiye kanikung'uta haswa kuna day nilichezea vitasa zaid ya 100+ bila barozi wa mtaa ile siku ningegusa 200+[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli wewe dishi liliyumba unamkimbiza mzee mitaa yenye watu wengi ili akupotezee...mimi wa kwangu anarudi kukusubiria nyumbani dadeki unapata kipigo mara kumi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani kweli alikuwa mpole sema hata mimi aliyekuwa ananifanyia hivyo ni sista sio baba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mim mzee hakua mkali kabisa mbaya zaid nikimbia usiku alikua anaanza kunitafuta yeye mwenyewe tena anakua mpole tu... mim bi mkubwa tu ndiye kanikung'uta haswa kuna day nilichezea vitasa zaid ya 100+ bila barozi wa mtaa ile siku ningegusa 200+
Dada kakuchezeshea daah[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani kweli alikuwa mpole sema hata mimi aliyekuwa ananifanyia hivyo ni sista sio baba
Siwezi kukuchunia, Krismasi wapi? Nipe ramaniWe si umeamua kunichunia
aiseee wewe ni muhenga haswa japo ni nearly age mate. nakuja PMNdio walikua na wanaitana na kujibizana hivo, kina chepe, golden boy mapung'o, njomba nchumali
Ndio. Ndo alienilea kwa hiyo alikuwa kama mama yangu tuDada kakuchezeshea daah
Njoo nikwambie chumbaniSiwezi kukuchunia, Krismasi wapi? Nipe ramani
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Usiombe baba yako awe kama Sizonje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mim mzee hakua mkali kabisa mbaya zaid nikimbia usiku alikua anaanza kunitafuta yeye mwenyewe tena anakua mpole tu... mim bi mkubwa tu ndiye kanikung'uta haswa kuna day nilichezea vitasa zaid ya 100+ bila barozi wa mtaa ile siku ningegusa 200+
Ila hata dunia ibadilikeje, mi lazima niendeleze legacy ya udingi mtata.
Naam, maza mpaka sisi watoto wake.Duuh..!! Itakuwa alikuwa anamtes sana mazaa nini maana...