Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Thank u dia.Aisee pole mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank u dia.Aisee pole mama
Nakuja KhantweNjoo nikwambie chumbani
Mzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.
Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.
Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.
Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
nyinyi nyote trella... dingi yangu maarufu sana maeneo ya yombo kila mtu hadi majirani wanamuongelea enzi zake.. kuwa alikuwa hatari...
enzi hizo dar bado wenyeji wengi mitaa ya uswahilini kuna ngoma za wamakonde na wazaramo kibao....
kuna siku wazaramo walipita na kigodoro chao mchana nje ya ukuta dingi alikuwa anapalilia majani... wazaramo kibao kama 200 hivi.. dingi akawasimamisha.. na kuwauliza hivi kila kabila hapa likisema lipige ngoma yake si itakuwa balaa.. akawaambia ngoma za wazaramo kwa mchaga, mkurya, mnyakyusa, mhehe etc ni usumbufu.. kama wanataka ngoma wakapigie kwao msanga huko ambapo hakuna makabila mengine... wazaramo wakacharuka si unajua wanaongea sana wakaanza msuta dingi... mzee akajifanya amezidiwa.. akawaambia amependa hoja zao wamsubiri awaletee zawadi ya mwali wao...
wale wazaramo walivyo wajinga wakamsubiri kweli... dingi kazama ndani.. chumbani kwake kachukua gobole lake... kilichotokea ilikuwa story yombo mzima hakuna ambaye haijui..... dingi alivyotoka tu nje na gobole wakaanza kimbia na wapiga ngoma wakaacha ngoma zao.. dingi akazigeuza zile ngoma ni mafunzo ya kulenga shabaha... zile ngoma kubwa akazitia risasi zote.. na gobole lina kelele balaaaaa... mtaa mzima ndanii.. yeye anazitia shaba tu.
hawakurudi tena na ngoma zote zikawa zinapita mtaa wa pili.. hazipiti njia ya kwetu wanaogopa mwanajeshi mstaafu
dingi alikuwa anatubondaaa hadi mama analia yeye...
anakwambia ndani ya nyumba rafiki yake mke wake tu.. ana gari lake land rovee ukiingia humo huruhusiwi kukaa kiti cha mbele ni cha mke wake tu mama yetu.... na hata ukikaa siti ya nyuma ukipigwa wimbo mzuri huruhusiwi kutikisa kichwa anakushusha... enzi hizo watoto wake alikuwa anatushusha kwenda kanisani eti tunatikisa kichwa kwenye gari lake tukisikia mziki mzuri.. so kanisani inabidi twende kwa mguu.. yeye na mama ndio kwenye gari
Jf ina watoto wengi siku hizi.
kama mimi kijana angu yanii sina nae story kabisa mpaka saizi si mkubali hata kidogo na maza ndo kaniaje tumebaki wawili ndoo kabisaUkali Wa Mzee wangu umesababisha mpk Leo hatupatani!! Hatuna story zaidi ya salamu tu!!
hahahahhahaa huyo mzee mpaka leo yuko auKama kuna mwenyeji wa chuo cha Kilimo na ofisi za utafti Tumbi tabora! 2007 mpaka 2016 asikwambie mtu yule mzee wangu hafai mpaka leo,alikuwa maekosana na wafanya kazi woote,kila mtu ni adui, mpaka sisi watoto ndani hakukaliki! Changanya na ule urokole ndo kabisaaa! Siku moja mdogo wangu akaja amevaa mzura kapewa na rafiki yake! Aliambiwa asiguse ndani na uchafu wake arudi mwanza !ara moja,dogo taratibu akaanza safari saa tisa jioni kurudi kwa ma mdogo! Hata niishiwe mpaka mia home siwezi kurudi mimi
na bado anatabia zile zile auKama kuna mwenyeji wa chuo cha Kilimo na ofisi za utafti Tumbi tabora! 2007 mpaka 2016 asikwambie mtu yule mzee wangu hafai mpaka leo,alikuwa maekosana na wafanya kazi woote,kila mtu ni adui, mpaka sisi watoto ndani hakukaliki! Changanya na ule urokole ndo kabisaaa! Siku moja mdogo wangu akaja amevaa mzura kapewa na rafiki yake! Aliambiwa asiguse ndani na uchafu wake arudi mwanza !ara moja,dogo taratibu akaanza safari saa tisa jioni kurudi kwa ma mdogo! Hata niishiwe mpaka mia home siwezi kurudi mimi
Kwakweli nimecheka sana, khaaa ila madingi wa zamani walikuwa ni wazee wa mishoosho. Hawa wa siku hz hakuna kitu kbs.
Kastaafu mwaka Jana Mkuu! Tabia zako pale pale Mkuu usiombe! Sijawahi na sitathubutu kupeleka rafiki home maana najua atapata tabu! Huyo mchumba tu ili kuwe na amani ni Kumpa taarifa tu kuwa tayari tuna watotona bado anatabia zile zile au
safi sanahhhaha mie mwenyewe nimecheka !mie had leo na utu uzima namuogopa baba vibaya mno hakawii kunibadilikia !mie had 23 yrs nilipigwa na baba !jaman yule msukuma mkali sina hamu naye jaman ! wababa wa sasa hv zero kbs !mume wangu hajawah hata mfiya mwanaye akikosea !ananimind kweli ikikong'ota toto lake !dah km kuoigwa jaman enzi zxetu tulipigwa !
live long baba
hahahahahahaahahah ukienda unatoa taarifa huku unajianda kukimbia hahhahahahahaah.Kastaafu mwaka Jana Mkuu! Tabia zako pale pale Mkuu usiombe! Sijawahi na sitathubutu kupeleka rafiki home maana najua atapata tabu! Huyo mchumba tu ili kuwe na amani ni Kumpa taarifa tu kuwa tayari tuna watoto
au ndo ileee baba nina mchumba ushafika stend na mizigo unasikilizia. maana unajua hachelewiKastaafu mwaka Jana Mkuu! Tabia zako pale pale Mkuu usiombe! Sijawahi na sitathubutu kupeleka rafiki home maana najua atapata tabu! Huyo mchumba tu ili kuwe na amani ni Kumpa taarifa tu kuwa tayari tuna watoto
Kastaafu mwaka Jana Mkuu! Tabia zako pale pale Mkuu usiombe! Sijawahi na sitathubutu kupeleka rafiki home maana najua atapata tabu! Huyo mchumba tu ili kuwe na amani ni Kumpa taarifa tu kuwa tayari tuna watoto