MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Dingi angu huwa sio mchapaji ila ana sauti kama ya radi, mweusi tii na giant kiasi. Nikikosea akipiga biti nlikua najikojolea bila kuchapwa
Akirudi home kutoka kwenye mishe zake watoto tulikuwa wapole, tunaona amani imetoweka home
Mtaani tuliheshimika na watoto korofi, tulikuwa hatuchokozwi kwa sababu watoto wa mtaa walimwogopa mzee wetu mno
Kinachonishangaza ni kwamba, mzee sio katili na sio rahisi kwake kumchapa mtoto ila sisi tulimwogopa tu
Cha kushangaza zaidi, mpaka leo sijazoeana sana na mzee wangu... Mungu ampe maisha marefu!
Akirudi home kutoka kwenye mishe zake watoto tulikuwa wapole, tunaona amani imetoweka home
Mtaani tuliheshimika na watoto korofi, tulikuwa hatuchokozwi kwa sababu watoto wa mtaa walimwogopa mzee wetu mno
Kinachonishangaza ni kwamba, mzee sio katili na sio rahisi kwake kumchapa mtoto ila sisi tulimwogopa tu
Cha kushangaza zaidi, mpaka leo sijazoeana sana na mzee wangu... Mungu ampe maisha marefu!