Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

ila vipi ulirudi au
ah nilirudi tu !niende wapi? ndugu waoga kunipokea !hahaha wanajua yatakayowakuta !ila serius mie imenisaidia sana ingawa had leo nikiona simu yake naogopa bado ! nw am married kaheshima kapo kakubwa !
nakumbuka siku nimewaambia kuna mtu anataka kuja hom kujitambulisha !hahaha nilikalishwa masaa naulizwa elimu yake ! hahahahaa !alisema km ana degree moja mwambie aendelee kusoma asje hapa !lol !
na alipokuja alimhoji san sana had ukoo wake ! hatarius
 
au ndo ileee baba nina mchumba ushafika stend na mizigo
Namuogopa sana yule mzee huwa namuona anacheka kanisani tu,hata sebuleni kwetu nilikuwaga sipajui vizuri maana ukiingia tu unamkuta anacheki movie zake za dini! Sasa upige kelele utajua! Nakumbuka kipindi tunasoma hayo masharti akilipa ada! Mkuu mpaka namaliza college sikuwa na mazoea na msichana yoyote asije kunipandishia mashetani nikajikuta namgegeda itokee mimba!
 
miimi mzee wangu alikuwa hataki hata rafiki wa kiume yani anataka akuon wewe mwenyewe tu alikuwa ana neno moja marafiki wote ni wahuni


nataman kusema huenda babako ana udugu na baba !hata mie baba neno wahuni had leo analo !hahahahah mie sijakua na mashoga !ila alikua anaruhusu mtu ambye ana akili kunizid mm niongozane naye !kama wa kupata c au d anakuambia marufuku !aman dah
 
Namuogopa sana yule mzee huwa namuona anacheka kanisani tu,hata sebuleni kwetu nilikuwaga sipajui vizuri maana ukiingia tu unamkuta anacheki movie zake za dini! Sasa upige kelele utajua! Nakumbuka kipindi tunasoma hayo masharti akilipa ada! Mkuu mpaka namaliza college sikuwa na mazoea na msichana yoyote asije kunipandishia mashetani nikajikuta namgegeda itokee mimba!


hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa mama weeeeeeeeeee !sie ilikua ukisikia muungurumo wa gari unajua tu huyo! tulikua tunamuita osama na had leo anajua tunamuitaga hvyo !lol! sebulen mnakaa mama akiwepo !haaaaaaaaaaaaaaa
 
nataman kusema huenda babako ana udugu na baba !hata mie baba neno wahuni had leo analo !hahahahah mie sijakua na mashoga !ila alikua anaruhusu mtu ambye ana akili kunizid mm niongozane naye !kama wa kupata c au d anakuambia marufuku !aman dah
MIMI hadi leo simu yake nikiona azima ni tetemeke hata kama nilikuwa na furaha kiasi gani pili sijawai kukaa nae chini kupiga story za hapa na pale tatu yeye kila kitu uki mwambia anakunja sura ila akikutana na ma best zake kazi kujisifia tu kuhusu familia. hadi leo sipeeki rafiki home labda awe na mwili kama mtu mzima sana na awe anajua mambo ya siasa na awe muoneaji ndo mzee watapatana
 
nataman kusema huenda babako ana udugu na baba !hata mie baba neno wahuni had leo analo !hahahahah mie sijakua na mashoga !ila alikua anaruhusu mtu ambye ana akili kunizid mm niongozane naye !kama wa kupata c au d anakuambia marufuku !aman dah
Siku ya matokeo mpaka chuo nimepeleka mitihani! Ukifeli tu anatoa cheti chake ndani anakuuliza angalia hapo kama niliwahi kupata C popote uniambie,ilikuwa hakuna kulala siku hiyo! Kiukweli huyu jamaa ni balaaa! Hapo ndo mama awe amesafari utaomba hata upatwe na maralia gafra ukalazwe ili mradi mda wa shule ufike uondoke
 
Siku ya matokeo mpaka chuo nimepeleka mitihani! Ukifeli tu anatoa cheti chake ndani anakuuliza angalia hapo kama niliwahi kupata C popote uniambie,ilikuwa hakuna kulala siku hiyo! Kiukweli huyu jamaa ni balaaa! Hapo ndo mama awe amesafari utaomba hata upatwe na maralia gafra ukalazwe ili mradi mda wa shule ufike uondoke

hahhahahahaaaaaa ! tupo wengi jaman ! mie nw amezeeka kias kaukali kanapungua !mie had leo siend hom km mama hayupo ! bado nina ule woga aisee
 
MIMI hadi leo simu yake nikiona azima ni tetemeke hata kama nilikuwa na furaha kiasi gani pili sijawai kukaa nae chini kupiga story za hapa na pale tatu yeye kila kitu uki mwambia anakunja sura ila akikutana na ma best zake kazi kujisifia tu kuhusu familia. hadi leo sipeeki rafiki home labda awe na mwili kama mtu mzima sana na awe anajua mambo ya siasa na awe muoneaji ndo mzee watapatana


hahhaaha huyo ni mzee mbitiyaza !dah hatar sana !mie babangu marafiki zangu amewajua siku naolewa na kutolea mahari !ilikua marufuku makubwa ! hata mie nilkitaka kumuwin nilete habar za siasa anapenda kweli kweli
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa mama weeeeeeeeeee !sie ilikua ukisikia muungurumo wa gari unajua tu huyo! tulikua tunamuita osama na had leo anajua tunamuitaga hvyo !lol! sebulen mnakaa mama akiwepo !haaaaaaaaaaaaaaa
Mjerumani ndo tulikuwa tumempa jina lake! Anakwambia sitaki kuabika mbele za maadui na mbele za shetani, kama hutaki kusali jiondoe kujiita mtoto wangu,na kama ikitokea ukaleta mimba huko chuo usinijue mimi kuwa ni baba yako! Na siku ukigonga hodi ya rikizo nahitaji mitihani yote hapa mpaka quiz,maskini unajikuta home unaingia na nguo kama tano tu za adabu ya kutosha!
 
Mjerumani ndo tulikuwa tumempa jina lake! Anakwambia sitaki kuabika mbele za maadui na mbele za shetani, kama hutaki kusali jiondoe kujiita mtoto wangu,na kama ikitokea ukaleta mimba huko chuo usinijue mimi kuwa ni baba yako! Na siku ukigonga hodi ya rikizo nahitaji mitihani yote hapa mpaka quiz,maskini unajikuta home unaingia na nguo kama tano tu za adabu ya kutosha!


ahhahaa sisi had receipt za ada ni lazima ukifunga shule uende nazo !hahah sasa ole wako akupe hela tarehe 3 risiti ionekane ililipwa tar 5 !utaeleza fresh ! hahah live long mzee
 
hahhahahahaaaaaa ! tupo wengi jaman ! mie nw amezeeka kias kaukali kanapungua !mie had leo siend hom km mama hayupo ! bado nina ule woga aisee
Hongera yako! Sisi anazeeka ndo anazidi kuwa moto hatari! Yaani apite binti karibu yake kavaa vya ajabu au asimpe salamu! Atajutia kupita pale,huwa nammisi tu nikiwa mbali lakini usijiroge ukapiga cm kumsalimia badla ya salama yataanza mausia hayo na huko mwishoni ni kufokewa mpaka vocha inaisha!
 
Mzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.

Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.

Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.

Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii imenichekesha for real
 
hahhaaha huyo ni mzee mbitiyaza !dah hatar sana !mie babangu marafiki zangu amewajua siku naolewa na kutolea mahari !ilikua marufuku makubwa ! hata mie nilkitaka kumuwin nilete habar za siasa anapenda kweli kweli
Kule tabora tena alikuwa kamanda wa ccm mkoa! Umenikumbusha mbali sana,sasa siku ile wanapitisha jina la magufuri si akaja na bango lake akalibandika ndani! Mimi bila kujua nani kaleta nikalibandua nikatupa kule na kuandika pale kikaratasi chagua chadema nikijua mama Ndo kaleta! Weeeeeeeee! Mbitiyaza.Ada ya mwaka wa mwisho alinilipia mama tena kwa kukopa kwenye vikoba!mpaka leo hata nisimsalimie mzee ndo furaha yake!
 
Hongera yako! Sisi anazeeka ndo anazidi kuwa moto hatari! Yaani apite binti karibu yake kavaa vya ajabu au asimpe salamu! Atajutia kupita pale,huwa nammisi tu nikiwa mbali lakini usijiroge ukapiga cm kumsalimia badla ya salama yataanza mausia hayo na huko mwishoni ni kufokewa mpaka vocha inaisha!


hahaaaaaaa jaman nacheka had nguvu sina mie !dah !bwana we babako hatoki kanda ya ziwa kweli ! hahaha alikuja last yr kwangu may hv !akakuta watoto wakitoka shule wnaangalia cartoon kweli kweli ndo ugonjwa wao !kumbe likawa linamkaba anashindwa angalia BBC na CNN ZAKE ! bwana wee !akatuita mie na hubby akanamuambia hubby , mbiti ningemruhusu aangalie mauchafu ya kihuni haya usingefikiria kumuoa ! huu ni uhuni !zuia kbs katuni kwa watoto ! hahah nammwambia baba mbn ni nzuri zinafundisha!anakukatisha fasta !upuuzi huo mbiti nisikilize mm !

but asbh akiamka anakuambia dah wajukuu wana english nzuri endelea kwenda nao vizuri wasirud nyuma !bas na mie nampaga makavu namwambia ni cartoon hizo zinawafanya wachonge ngenga !hhahahah
 
Kule tabora tena alikuwa kamanda wa ccm mkoa! Umenikumbusha mbali sana,sasa siku ile wanapitisha jina la magufuri si akaja na bango lake akalibandika ndani! Mimi bila kujua nani kaleta nikalibandua nikatupa kule na kuandika pale kikaratasi chagua chadema nikijua mama Ndo kaleta! Weeeeeeeee! Mbitiyaza.Ada ya mwaka wa mwisho alinilipia mama tena kwa kukopa kwenye vikoba!mpaka leo hata nisimsalimie mzee ndo furaha yake!


hahahahahahahhaahhha long live mzee yapaswe yaan nacheka had machozi hapa !dah ! haaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
hahaaaaaaa jaman nacheka had nguvu sina mie !dah !bwana we babako hatoki kanda ya ziwa kweli ! hahaha alikuja last yr kwangu may hv !akakuta watoto wakitoka shule wnaangalia cartoon kweli kweli ndo ugonjwa wao !kumbe likawa linamkaba anashindwa angalia BBC na CNN ZAKE ! bwana wee !akatuita mie na hubby akanamuambia hubby , mbiti ningemruhusu aangalie mauchafu ya kihuni haya usingefikiria kumuoa ! huu ni uhuni !zuia kbs katuni kwa watoto ! hahah nammwambia baba mbn ni nzuri zinafundisha!anakukatisha fasta !upuuzi huo mbiti nisikilize mm !

but asbh akiamka anakuambia dah wajukuu wana english nzuri endelea kwenda nao vizuri wasirud nyuma !bas na mie nampaga makavu namwambia ni cartoon hizo zinawafanya wachonge ngenga !hhahahah
Anatokea kanda ya ziwa Mkuu! Yaani nahisi mzee wako na wangu wanakaundugu pengine! Mzee ukimwambia hata kanisani huyu rafiki yangu tulisoma nae alipata first class last year weee atamkumbatia mpaka basi! Sasa jichanganye usepe alipata pass hakopeshagi pale pale anakwambia ndo safari yako yote ya masomo huyu ndo uliona rafiki akufaae? Hapo usogee mbali Kofi hata awepo Mchungaji utapigwa tu
 
Anatokea kanda ya ziwa Mkuu! Yaani nahisi mzee wako na wangu wanakaundugu pengine! Mzee ukimwambia hata kanisani huyu rafiki yangu tulisoma nae alipata first class last year weee atamkumbatia mpaka basi! Sasa jichanganye usepe alipata pass hakopeshagi pale pale anakwambia ndo safari yako yote ya masomo huyu ndo uliona rafiki akufaae? Hapo usogee mbali Kofi hata awepo Mchungaji utapigwa tu


Yaan nacheka had nakosa nguvu jaman !haaaaaaaaaaaaa ! nakosa hat cha kuandika jaman ! dah !dawa ya hawa wazee utafute maisha yako uwe unamtembelea mara moja moja!
 
Yaan nacheka had nakosa nguvu jaman !haaaaaaaaaaaaa ! nakosa hat cha kuandika jaman ! dah !dawa ya hawa wazee utafute maisha yako uwe unamtembelea mara moja moja!
Mzee ni mkali wa kutisha lakini amenisaidia sana mpaka sasa hasa kumaliza masomo yangu salama,kushika dini,heshima maana huwa nafikia sehemu wanatamani hata nikae mwaka,haya yote ni kwa sababu yake! Namoenda sana lakini namwogopa sana
 
Mzee ni mkali wa kutisha lakini amenisaidia sana mpaka sasa hasa kumaliza masomo yangu salama,kushika dini,heshima maana huwa nafikia sehemu wanatamani hata nikae mwaka,haya yote ni kwa sababu yake! Namoenda sana lakini namwogopa sana

hongera !
 
Back
Top Bottom