Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Ni kweli asilimia 100% mzee wako yupo sahihi..
 
Hahahahaha
 
Kati ya zote simuliz yako no kiboko
 
2011 huo mwaka sintausahau nlipewaga onyo ya kutoka nyunnyum ila nlitoka wenzangu wakachoma nyumba ya watu wakakimbia mimi nkabaki dingi akaelezwa aiseee nlipigwa mpaka nkamwambia baba nimeskia njaa Duuuh ila nampenda Sana baba yangu mpaka milele
 
Mi huo ukolon mbuzii ndo huwa sitaki kuuzikia mi nilishazinguana na mshua hivi hivi , eti ananizava vibao weee ! Nilimkunja nikampa vitasa hatasau mjinga mmoja Yule .
Sitaki ujinga Mimi
Nadhani kwanzia siku hiyo alikuheshimu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuuuh nilpokuwa std la 6 nilimtukana shangazi lakin yeye ndo alikuwa mgomvi alinitania neno flan hivi lol, nkahamaki nkatoa tusi 1 kubwa pasipo kutarajia, af kumbe mzee alikuwa karibu na maeneo yaleeh, uwiiiiiiiiiiiih kisanga nilichokutana nacho had shangazi mwenyewe akawa analia kunionea huruma, sitasahau kamweeh. But nampenda san mshua.
 
nyie wote hapo juu wazee wenu bado sana hawajamfikia mzee wake jamaa angu, ni mjeda anaamuaga tu kuna siku anaamka amenuna[emoji23]
 

hii inasikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…