Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Hahaha
 
Nyie watu acheni kuwasingizia wazee wenu ukoloni, dingi yangu ndo mwenye cheo chake kwa matimbwili yake haya....
1. Mama yangu hadi ana miaka hamsini lakini akizingua dingi anampa kichapo heavy, afu mtu ajifanye kuingilia atakiona cha moto.
2. Nusu ya watoto wake tumeoa na kuolewa lakini ukienda kijijin kusalimia mwisho kuingia kwake ni saa 12 vinginevyo unachezea za chemba.

3. Kila siku asubuhi lazima umpigie simu na kumwambia shikamoo.

4. Aliwahi kunikosa panga, kama si kaka yangu kumzuia leo ngekua marehemu, na huyo kakangu alilazwa wiki nzima akiwa hajitambui hospitalini

5. Kuna mke wa mshikaji kitaani alikua ananishobokea sana nkaona isiwe taabu nkamtia neno tukaanza kufanya yetu, basi siku moja tukazinguana nkamtishia ntamsema kwa mumewe kwamba ananitaka kimapenzi, yule dada akapaniki akajua ni kweli akaenda nigeuzia kibao kwa mumewe kuwa namtaka kinguvu, wacha jamaa aje kunisemea kwa faza, siku hiyo dingi alirudi usiku alichofanya ni kunihamishia bavuni na kunimwagia ndoo ya maji akalock mlango, asubuhi nafunguliwa mlango kucheki jamaa huyu hapa na mke wake....... akamuamuru jamaa anichape viboko kadiri atakavyo mbele ya mkewe.........
 
Bahati mbaya sijaishi na baba kwa muda mrefu, lakini kwa mtazamo Mzee wangu ni Mkali kiasi siyo sana na akizingua na mm nina mzingua tu, si unajua watoto wa siku hizi katika malezi bora tuliyopitia. [emoji1] [emoji3]
Tabia mbaya
 
Ulichemka sana kuvunja vitu vya home
 
Natamani nichangie ubandidu wa mzee wangu ila sioni hata kimoja, alikuwa hana noma mzee wangu..R.I.P Dad
 
Muuza ubuyu, uyo jamaang n askar wa kutulza ghasia (FFU), mkoan Irnga uko, cpat picha kma jamaa karith element za babake
 
Nouma Sana, mpaka Leo sina mazoea ya kumtext ama kumtumia text WhatsApp, napiga simu nikiwa na shida maalumu tu.

Anakwambia,siwezi kupiga simu kama sina suala la msingi
[emoji23] [emoji23] hatari sana
 
DAA MKUU KAMA NI KUPIGA KURA NAONA DINGI YAKO KASHINDA
 
Pole mkuu.. lakini vipi baada ya hapo ulibadilika? ulianza kuhudhuria madrasa?
 


naweza sema mzee wangu yuko the same but nilimchukia sana r.i.p tulikuwa kama simba na chui ilibidi nikasome nje ya nchi japo tulikuwa tunawasiliana fresh but nilikuwa na hate izo brutality nilikuwa napata na alijua ivo. I miss the good about him but that is not how to raise kids alifeli sana mzee aliprove a failure and exmple of a rogue leader and the way pia alivokuwa anamzibua bimkubwa asee ilikuwa hatari yani familia yako mzee ulivokuwa unaikuza imenifunza sana kama mwanaume kwakuelewa athari hiyo kwa familia yangu haijawai pata shida yoyote na mistreatments zozozte cos I have seen and learnt from the worst example.

THANK GOD SINA ILO PEPO MANINA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…