Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Mbona kuna wengine wanaplay game tu...mtu ana id mbili,moja ya me na nyingine ya ke,anajitongoza mwenyew anajikubalia mwenyew na ile id ya ke.....maisha yanasonga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hahahahahah aiseee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kadri ninavyoendelea kujifunza ulozi kama kuna dawa ya kutoa spinal codeee visokolokwinyooo nitakuletea mrejeshoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…