Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

1kush africa

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
9,552
Reaction score
13,090
Kiukweli hapa nawakilisha KE/ME tulio hatuna viburudisho,, tunapata wivu pale mnapoanza kuoneshana mahaba ktk status zenu,, kiukweli tunabaki kujichekesha tu ktk status zenu,,, tupotupo tuu,,, yaaan

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Surely hakuna mahusiano yenye uhalisia jf .ni mchezo tu unachezwa na wataalam na kiukwl umefanikiwa kwan wamefanikiwa kukuaminisha kuwa wanakuwa na mahusiano ya mahaba ya kwl kumbe it,s just a game.
kumbe just a game?;[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanatucheza betting ktk jf
 
Back
Top Bottom