Wenye majina ya rose!

Wenye majina ya rose!

Uzuri wako ndo huu, unafahamu taaluma yako....leo utatupeleka pande fulani jioni....charges zako ni zipi tena?

hahah hahah
mzee wa kudiverge......!!!!!!
karibu sana
teamo kakusema weeeeeeee mpk basi
 
hahah hahah
mzee wa kudiverge......!!!!!!
karibu sana
teamo kakusema weeeeeeee mpk basi

Hebu baelezee hawa digidigi....ile limbwata imeisha au jioni ninunue nyingine?
 
haha hahah hahahahh!!!
anonymous njoo jibu plssssssss
uthibitshe aya madai ya teamo ni profesional tax driver...
yupo angani anaelekea U.S......!
hata hivyo wewe ni shahidi wangu namba moja
 
nakataa ..hapana..NAGOMA ROY HANA ILO TATIZO
NI MZIMA TU
HANA KISUKARI WALA KICHUMVI
mbona jana uliniambia tena kwa hisia kali kwamba roya ni diabetic?...
na vyeti ulinionyesha
sema ukweli
 
kitchen party hiyo....!wanaume huwa haturuhusiwi
roya atakuja!anapenda sana kucikiliza kitchen party

ndo mana sikumkaribisha roy
nkakuita wewe uje cz we ndo muhusika
roy hausiki na HATAKUJA
NAKUTAKA WEWE UJE..mjukuu atabeba vitabu vyake vya reference
 
nakataa ..hapana..NAGOMA ROY HANA ILO TATIZO
NI MZIMA TU
HANA KISUKARI WALA KICHUMVI

Halafu huyu babu anaetembea na mpini akidai ni panga la zamani....wapi mujukuuu...
 
ndo mana sikumkaribisha roy
nkakuita wewe uje cz we ndo muhusika
roy hausiki na HATAKUJA
NAKUTAKA WEWE UJE..mjukuu atabeba vitabu vyake vya reference
hiyo ni sherehe ya wanawake,na wanaume wenye visukari!
mi lijari bwana!
kidume kokonati miye
 
sasa mkuu nitaitoaje wakati ni ukweli!
labda useme nishushe evidence

dig digiiiiiiiiiiii leo umeamua kusimamia mauchokoz ....ahh nacheka apa mpk bas...km namwona vle roy ahh achana na vidig dig ivi vina fujo tu lakin havina madhara!!!!!!
 
kwaiyo babu nae ana kisukar?na mjukuu wake?na finest?ahh we jaman mistak ivi

Taratibu mwenye Jina la Rose......babu ana-KIPWEZA!

Rekebisha kauli yako kabla sijakupandia tukutuku:A S angry::A S angry::A S angry:
 
eeh kweli iv mipango ya dom inaendeleaje?
km mtu mmoja ugonjwa ukimzidia mio ntakuja.....!!!!!...km nakuona vle umecheka apo!!!!!!!
 
babu trust me
roy HAUMWI JAman
SA SJUI aka kadg dig kanataka nin ..kachokoz tu..sjui kanataka kumrith st?
mi ata simwelew..
Nashusha evidence sasa:

1-roya mwenyewe ameomba NIMRITHI
 
eeh kweli iv mipango ya dom inaendeleaje?
km mtu mmoja ugonjwa ukimzidia mio ntakuja.....!!!!!...km nakuona vle umecheka apo!!!!!!!
hahaha!
beba kila kitu mama!hama na mabegi njoo nikupe RAHA.....!

achana na huyo mgonjwa wa ki-sukari
 
Back
Top Bottom