Wenye majukumu ya kazi, biashara na familia jiungeni Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Wenye majukumu ya kazi, biashara na familia jiungeni Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Tanzania Nchi Yetu Sote

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
505
Reaction score
872
WENYE MAJUKUMU YA KAZI BIASHARA NA FAMILIA JIUNGENI CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA

Kama wewe ni mtu ambaye una majukumu ya kazi, biashara au ya kifamilia na unapenda kujiendeleza kielimu, njoo Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ndipo mahali pake. Chuo hiki cha umma kinaendeleza watumishi wa umma na binafsi kuanzia ngazi za Certificates, Diploma, Shahada, Shahada za Umahiri na Uzamivu.

Chuo kina mifumo wezeshi ya kukufanya usome ukiwa huko huko ulipo. Mifumo hiyo ni MOODLE Platform, mihadhara mbashara kwa ZOOM, mafunzo ya ana kwa ana kwa vipindi maalumu, masomo ya jioni (evening programs), masomo ya Executive, mafunzo ya vitendo, maktaba mtandao, na What's App Kimbwetta. Kupitia mifumo hii utasoma vizuri sana na utapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika eneo lako la ubobezi.

Dirisha la kufanya maombi lipo wazi kwa ngazi zote. Tuma maombi yako kupitia www.out.ac.tz popote pale ulipo. Chuo kina matawi kila mkoa na vituo vya uratibu Unguja, Pemba, Kahama na Tunduru. Karibu sana ujiendeleze kupitia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Wasio na majukumu pia wanaruhusiwa kujiunga na wakati wanaendelea na masomo wataweza kuanza kufanya shughuli zao kama kilimo, ufugaji, biashara katika kujiajiri au kuajiriwa.

Na.
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
 
WENYE MAJUKUMU YA KAZI BIASHARA NA FAMILIA JIUNGENI CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA

Kama wewe ni mtu ambaye una majukumu ya kazi, biashara au ya kifamilia na unapenda kujiendeleza kielimu, njoo Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ndipo mahali pake. Chuo hiki cha umma kinaendeleza watumishi wa umma na binafsi kuanzia ngazi za Certificates, Diploma, Shahada, Shahada za Umahiri na Uzamivu.

Chuo kina mifumo wezeshi ya kukufanya usome ukiwa huko huko ulipo. Mifumo hiyo ni MOODLE Platform, mihadhara mbashara kwa ZOOM, mafunzo ya ana kwa ana kwa vipindi maalumu, masomo ya jioni (evening programs), masomo ya Executive, mafunzo ya vitendo, maktaba mtandao, na What's App Kimbwetta. Kupitia mifumo hii utasoma vizuri sana na utapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika eneo lako la ubobezi.

Dirisha la kufanya maombi lipo wazi kwa ngazi zote. Tuma maombi yako kupitia www.out.ac.tz popote pale ulipo. Chuo kina matawi kila mkoa na vituo vya uratibu Unguja, Pemba, Kahama na Tunduru. Karibu sana ujiendeleze kupitia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Wasio na majukumu pia wanaruhusiwa kujiunga na wakati wanaendelea na masomo wataweza kuanza kufanya shughuli zao kama kilimo, ufugaji, biashara katika kujiajiri au kuajiriwa.

Na.
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Nifanyeje nikiwa na certificate yangu kuweza kuchukua degree
 
WENYE MAJUKUMU YA KAZI BIASHARA NA FAMILIA JIUNGENI CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA

Kama wewe ni mtu ambaye una majukumu ya kazi, biashara au ya kifamilia na unapenda kujiendeleza kielimu, njoo Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ndipo mahali pake. Chuo hiki cha umma kinaendeleza watumishi wa umma na binafsi kuanzia ngazi za Certificates, Diploma, Shahada, Shahada za Umahiri na Uzamivu.

Chuo kina mifumo wezeshi ya kukufanya usome ukiwa huko huko ulipo. Mifumo hiyo ni MOODLE Platform, mihadhara mbashara kwa ZOOM, mafunzo ya ana kwa ana kwa vipindi maalumu, masomo ya jioni (evening programs), masomo ya Executive, mafunzo ya vitendo, maktaba mtandao, na What's App Kimbwetta. Kupitia mifumo hii utasoma vizuri sana na utapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika eneo lako la ubobezi.

Dirisha la kufanya maombi lipo wazi kwa ngazi zote. Tuma maombi yako kupitia www.out.ac.tz popote pale ulipo. Chuo kina matawi kila mkoa na vituo vya uratibu Unguja, Pemba, Kahama na Tunduru. Karibu sana ujiendeleze kupitia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Wasio na majukumu pia wanaruhusiwa kujiunga na wakati wanaendelea na masomo wataweza kuanza kufanya shughuli zao kama kilimo, ufugaji, biashara katika kujiajiri au kuajiriwa.

Na.
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Asante sana kutukumbusha kwani Elimu haina mwisho
Napendekeza kipindi hiki cha kujiandikisha muwe na hotline au whatsup line ambayo mtu anaweza kuuliza maswali yake yanayomuhusu na kupata muongozo kwa haraka.
Hii itawasaidia sana wale waliosoma kupitia mfumo usio rasmi . Mfano
  1. Best pass Form IV+ 10 years experience kwenye kazi moja (accounts/admin etc) kama wanaweza ku qualify kuchukua degree au italazimika waaanze fresh
  2. Je wenye Diploma/Degree kutoka vyuo vya nje ambazo mnasema hazitambuliki wanasaidikaje etc
  3. Je darasa la saba anayependa kujiendeleza; utaratibu wao upo? nk nk nk
 
Napenda BSc FND lakini wanataka nisome mwaka kwanza na Hiyo ni shida sana.
Kwani nikianzia nilipo si akili yangu tuu inahitajika kuelewa nakujifunza zaidi?

Nimesoma Electronics na Form Four Nina Pass ya Biology, Physics Mathematics n.k. Sasa Kwa Nini siome Tena Foundation wakati hata Kiingereza nakijua kuandika na kuongea Kwa ubora unaotakiwa?
 
WENYE MAJUKUMU YA KAZI BIASHARA NA FAMILIA JIUNGENI CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA

Kama wewe ni mtu ambaye una majukumu ya kazi, biashara au ya kifamilia na unapenda kujiendeleza kielimu, njoo Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ndipo mahali pake. Chuo hiki cha umma kinaendeleza watumishi wa umma na binafsi kuanzia ngazi za Certificates, Diploma, Shahada, Shahada za Umahiri na Uzamivu.

Chuo kina mifumo wezeshi ya kukufanya usome ukiwa huko huko ulipo. Mifumo hiyo ni MOODLE Platform, mihadhara mbashara kwa ZOOM, mafunzo ya ana kwa ana kwa vipindi maalumu, masomo ya jioni (evening programs), masomo ya Executive, mafunzo ya vitendo, maktaba mtandao, na What's App Kimbwetta. Kupitia mifumo hii utasoma vizuri sana na utapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika eneo lako la ubobezi.

Dirisha la kufanya maombi lipo wazi kwa ngazi zote. Tuma maombi yako kupitia www.out.ac.tz popote pale ulipo. Chuo kina matawi kila mkoa na vituo vya uratibu Unguja, Pemba, Kahama na Tunduru. Karibu sana ujiendeleze kupitia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Wasio na majukumu pia wanaruhusiwa kujiunga na wakati wanaendelea na masomo wataweza kuanza kufanya shughuli zao kama kilimo, ufugaji, biashara katika kujiajiri au kuajiriwa.

Na.
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Masters in Project Management udahili 2022/2023 unaanza lini?
 
niliwahi kusikia kwamba kuna course mtu anasoma mwaka mmoja then anaingia degree hii ipoje??
 
Back
Top Bottom