bay_zooh
Member
- Jan 27, 2025
- 43
- 65
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu.
Kwa Mara nyingine narudi kwenu wana jf, naombeni mnisaidie kazi yoyote ile ya halali. Nina shahada ya mambo ya uchumi na mahesabu pia. Lakini nipo tayari kufanya kazi yoyote as long as iwe halali tu, sina hata mtaji wa kuuzia ubuyu hali yangu ni mbaya mno, na pengine mnao sema niuze simu nipate mtaji, Simu yangu pia ni mtihani.
Natanguliza shukran.
Kwa Mara nyingine narudi kwenu wana jf, naombeni mnisaidie kazi yoyote ile ya halali. Nina shahada ya mambo ya uchumi na mahesabu pia. Lakini nipo tayari kufanya kazi yoyote as long as iwe halali tu, sina hata mtaji wa kuuzia ubuyu hali yangu ni mbaya mno, na pengine mnao sema niuze simu nipate mtaji, Simu yangu pia ni mtihani.
Natanguliza shukran.