Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

Mkuu kwanini usinunue kisiwa chako mwenyewe alafu uzipige ban zote na kwani hauna gari mpaka upande daladala sio kwa ubaya nawasilisha
Hizo nguvu anazotumia kufanya harakati za kupiga ban VPN angeziweka kwenye kutafuta hela asingekuwa ana banana kwenye daladala.
Nyambafu mkubwa sana.
 
Nilikua si ijui ume sababisha nitamani kua na VPN ngoja nika itafute chapu.

Unakosaje vpn, mimi simu yangu nawasha cloudfare 24/7, maana mpaka sasa washapiga ban telegram na clubhouse achilia mbali hizo pilau!
 
Watu wakiangalia wewe inakusumbua nini!? Ungekuwa kweli unafanya kazi ungekuwa unapambana na dala dala mpaka umri huo?
 
Halafu watu wengi wenye fikra kama za mtoa mada ndio viongozi wa serikali...

Watu wenye one-dimensional mind...
 
Umeongea nonsense huwezi kuban vpn kwa ujinga wa wachache


Vpn watu tunatumia kupiga pesa alafu anatokea mjinga mmoja anaongea non sense
 
We jamaa acha wivu pambana kutafuta hela uache kupanda daladala
 
eleza wazi wanashusha nini kwenye daladala mkuu
 
Huna akili itoshe kusema kwamba WEWE NI TAKATAKA KAMA ******ILIYOTUMIKA


ACHANA NA FIKRA ZA KIMASKINI

#KATAA NDOA
 
Evil angel

Hahaha
 
Huo uchawi sasa wapige ban VPN alafu tutaishije sisi,maana inaonekana mwenzetu matawi ya juu,ila kwenye kupanda daladala umezingua
 
Kwani matokeo ya uchaguzi tayari au bado hata hawajapiga kura ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…