Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

Nilikua si ijui ume sababisha nitamani kua na VPN ngoja nika itafute chapu.

Unakosaje vpn, mimi simu yangu nawasha cloudfare 24/7, maana mpaka sasa washapiga ban telegram na clubhouse achilia mbali hizo pilau!
 
Watu wakiangalia wewe inakusumbua nini!? Ungekuwa kweli unafanya kazi ungekuwa unapambana na dala dala mpaka umri huo?
 
Halafu watu wengi wenye fikra kama za mtoa mada ndio viongozi wa serikali...

Watu wenye one-dimensional mind...
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
Umeongea nonsense huwezi kuban vpn kwa ujinga wa wachache


Vpn watu tunatumia kupiga pesa alafu anatokea mjinga mmoja anaongea non sense
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
We jamaa acha wivu pambana kutafuta hela uache kupanda daladala
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
eleza wazi wanashusha nini kwenye daladala mkuu
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
Huna akili itoshe kusema kwamba WEWE NI TAKATAKA KAMA ******ILIYOTUMIKA


ACHANA NA FIKRA ZA KIMASKINI

#KATAA NDOA
 
Evil angel

Hahaha
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
 
Huo uchawi sasa wapige ban VPN alafu tutaishije sisi,maana inaonekana mwenzetu matawi ya juu,ila kwenye kupanda daladala umezingua
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
Kwani matokeo ya uchaguzi tayari au bado hata hawajapiga kura ?
 
Back
Top Bottom