Wenye masikio wasikie na Wenye macho waone: Bunge linawaalika wadau kutoa maoni

Wenye masikio wasikie na Wenye macho waone: Bunge linawaalika wadau kutoa maoni

Nkaburu

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2023
Posts
1,638
Reaction score
1,961
Kamati tatu za Kudumu za Bunge zinawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Itifaki mbili na Katiba ya Tume ya Afrika ya Usafiri wa Anga ya mwaka 2009

F30weDzbMAAJ5cK

 
Huyu atakuwa yule CEO mwanasheria TCAA Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anakuja na dili gani ? Au Anga nalo linabinafishwa.

Masuala haya yalikuwa yawe kwanza yanajadiliwa ktk media kibao za Tanzania kabla ya kukimbizwa bungeni, wananchi na pia wadau wafahamu bila kustukizwa .
 
Huyu atakuwa yule CEO mwanasheria TCAA Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anakuja na dili gani ? Au Anga nalo linabinafishwa...
Nadhani itakuwa inahusu IGA kati ya Tanzania na DPW ya Dubai kwani imetuasa kubadilisha sheria mbali mbali ili "mikataba" iandikwe na kusainiwa.

Kile kipengele kinachohusisha utumiaji wa territory ya Tanzania, sio mdogo.
 
Kamati tatu za Kudumu za Bunge zinawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Itifaki mbili na Katiba ya Tume ya Afrika ya Usafiri wa Anga ya mwaka 2009

F30weDzbMAAJ5cK

Waamue tuu kama walivyozoea kufanya.... watanzania hatuna akili ya kuwashauri....
 
Ruksa wajifungie ndani ya mjengo wao wafanye litakalowafurahisha wao na CCM yao, sisi tunaendelea na vidole vyetu.
Hii ndio ile 'Proper' wanaitafuta. Wakimaliza na hili kibali kingine kinatoka.
 
Mambo yasiyo na maslahi ndio wanatualika pumbavu zao
Hapana. Jambo hili lina masilahi makubwa sana kwa Nchi. Lets not minimise the importance. Tanzania inakuhutaji, nenda utoe maoni yako.
 
Tunataka bandari zetu
Most Definately. Hii na sheria zingine zinazoenda kurekebishwa, zinadondoka kwenye wajibu wetu under IGA, kuwa Serikali na vyombo vingine vya sheria, vitafanya kila liwezwalo kuhakikisha Kampuni ya mradi inapata vibali vyote ili kuhitimisha azma yao.
 
Huyu atakuwa yule CEO mwanasheria TCAA Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anakuja na dili gani ? Au Anga nalo linabinafishwa.

Masuala haya yalikuwa yawe kwanza yanajadiliwa ktk media kibao za Tanzania kabla ya kukimbizwa bungeni, wananchi na pia wadau wafahamu bila kustukizwa .
Ikipita hiyo, ni kibali kingine cha kampuni ya mradi wa Bandari.
 
Back
Top Bottom